Bei za Vifaa vya ujenzi wa nyumba

Bei za Vifaa vya ujenzi wa nyumba

kwa biashara watu wanapenda vitu cheepest mkuu

Yaah...nikweli ila hizi choo za kuchuchumaa zakichina wakati zinaingia tuliuza sana lkn Mrejesho tuliopata nikwamba wakisafisha kwa Dawa vinaharibika sasa hivi vya India ndio vzr
 
Mbao za kupaua(Treeted)

2?2= 550 Kwa mita
2?4= 950 Kwa mita
2?6= 1450 Kwa mita
zinapatikana dsm na bati za aina zote pia zipo popote ulipo utaletewa
 
Mimi nyumba yangu iko kwenye Beem ( lenta) hapa nafikiri bei ya
. mbao treated bei zake
. mabati ya kisasa,, sijui bei zake nasikia kuna yale ya china, na south africa sijui na wapi wazoefu mwagikeni tufaidike hasa bei za kariakoo

Mi napatikana dsm buguruni nauza mbao
2x4 ft 12 treated 8000/pc
2x2 ft 12 treated 4000/pc
1x10 22000
1x8 1500

zaidi ya ft 12
2x4 1200 per ft
2x2 600
 
Mbao za kupaua(Treeted)

2?2= 550 Kwa mita
2?4= 950 Kwa mita
2?6= 1450 Kwa mita
zinapatikana dsm na bati za aina zote pia zipo popote ulipo utaletewa

mkuu bei za kweli hizo?mbona bei za kwa futi hiyo?
 
inatosha kabisa tena ukitaka unachanganya na toilets na masink unayapata kwenye godauni za goodone bei chee,ni busness nzuri sana hii.

Hii ni nzuri sana mkuu ila ningeshauri ushushe uzi kiasi kutufafanulia namna ya mchanganuo na changamoto za biashara hii kule kwenye jukwaa la ujasiliamali tufaidike wengi.
Natamani pia kufanya biashara hii Bagamoyo.
 
Hii ni nzuri sana mkuu ila ningeshauri ushushe uzi kiasi kutufafanulia namna ya mchanganuo na changamoto za biashara hii kule kwenye jukwaa la ujasiliamali tufaidike wengi.
Natamani pia kufanya biashara hii Bagamoyo.

Bagamoyo safi ila tafuta sehemu nzuri utafanya biashara nzuri sana
 
Naomba kujulishwa kwa Tanga mjini wapi nitapata cement ya bei rahisi kwa jumla.
Nahitaji tani 30.
 
Wanafanya hvo kwa ajili ya kucontrol biashara vinginevo kila mtu atakua anaenda kiwandani

Yaah....ndio maana yake sababu wanafanya Biashara ya Mawakala wao so MTU ukienda kununua kule manake Mawakala watakosa wateja sisi Tunauza maSIMTANK kuna jamaa 1 tulimpa Bei kajifanya mjuaji kaenda Kiwandani duh....alirudu kwetu kwaaibu...Kule kapewa bei zaidi ya Nusu tuliyomwambia
 
wakuu tunaomba tusaidiwe bei ya vifaa vya umeme naingia stage ya kufanya wiring, ahsanteni sana.
 
Naomba kufahamu hili.

Nataka nijenge nyumba ndogo tu 3 bedrooms lakini kigorofa moja tu.

Kwenye foundation katika concrete slab or jamvi, nondo ya size ngapi or millimeter ngapi?

Nataka ninunue reinforced sheet kama kwenye picha.

Na level ya pili baada ya foundation.

Suala la pili naweza kujenga bila ya kutumia column na badala yake kutumia tofali za concrete zile za kujenga gorofa?

Tatu upana wa 7 meter na urefu 8 meter mifuko mingapi ya saruji kwa foundation.
1454430828536.jpg
 
Jamani, am much interested na uzi huu, mm nataka kuanza ujenzi wa nyumba maeneo ya Kibaga kwa Mathias(uelekeo wa Makao Makuu ya Chuo Kikuu Huria). Nyumba ina;
1. Vyumba vinne vya kulala lkn moja ni master.
2. Choo cha public.
3. Sitting room.
4. Dining room
5. Jiko

Naomba gharama za msingi kwanza, mf idadi ya tofari/mawe kwa ajili ya msingi na vikorokoro vyote kwa ajili ya kazi jiyo.
 
Back
Top Bottom