Mangi wa Rombo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 207
- 143
Habari,
Naombeni kujuzwa bei ya hivyo vifaa hapo chini au kama kuna mwenye namba ya hardware anisaidie nipate bei kabla "fundi maiko" hajanipigaaa hukuuuu
Naombeni kujuzwa bei ya hivyo vifaa hapo chini au kama kuna mwenye namba ya hardware anisaidie nipate bei kabla "fundi maiko" hajanipigaaa hukuuuu