Kariakoo 22,500 kwa 40x40Tiles zimepanda bei, Tyfword, goodwill 40*40, bei 26,000
Ya 8mm sorryKariakoo 22,500 kwa 40x40
Hizi mbao zako ndio za miti ya cyprus? Niliuliza siku za juzi kama una mbao za futi 20 naona kama hujanijibu mkuu. Niko serious, nauhitaji mbao Mwezi huu.Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 12 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416
vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
Price ya rangi
DREWA (MINERAL STONE)
90,0000
25KG BUCKET
View attachment 1772873View attachment 1772873
Mwenye kujua utaratibu wa kununua bati kiwandani Alaf au Sunshea please.
Ok bossTunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 12 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416
vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
Kigamboni 5" ukichukua kuanzia tofali 1000 ni 950 tsh... kigamboni..muwe mnaomba punguzoTutauana, huku 5' ni buku wanakufikishia mpaka kwako, 6' ni 1300
Kigamboni.
Hata keko maduka mawili huku...inch 5 ..900 inch 6 1000...delivery 100 per tofali...(mkokoteni) kama upo mbali ukodi zako gariKigamboni 6' ni1100 mpaka site
Tafadhali weka kiasi cha sq meter kilichoandikwa kwa box ili nikadirie nitatumia box ngapiKariakoo 22,500 kwa 40x40
1.92....Tafadhali weka kiasi cha sq meter kilichoandikwa kwa box ili nikadirie nitatumia box ngapi
Huku mkoani ndoo moja tunainunua kwa 37000/=, kumbe wanatuibia
Kiwandani akuna punguzo kwa mtejaHakuna utaratibu mkubwa sana. pale Alaf wao unaenda mapokezi kwa afisa masoko pale unakutana na sample nyingi unachagua unachotaka, baada ya kuchagua rangi na design ya bati ambayo tayari ina price list una press order kwa sales personel palepale then unapewa Invoice na account number ukalipie Benki. ukishapewa risiti ya malipo unarejesha rist yako kwa afisa masoko(sales personel) anakupa siku 3 hadi 5 kuja kuchukua mzigo wako.
Kwa nyongeza ni hivi, pale nje ya kiwanda kuna mawakala( agents) wanauza mabati kutoka kiwandani. Wao unawapa order au unaambatana nao kiwandani utafata utaratibu kama huo hapo juu isipokuwa order yako itakwenda kwa jina la wakala. Pesa unalipa mwenyewe mzigo unachagua mwenyewe. Faida yake ni kuwa Wakala atapata punguzo la 10% ambapo wewe utakula 5% na wakala 5%. Chaguo ni lako.
Sunshare utaratibu ni almost same, ila wao sijaona mawakala in between.
Hakuna punguzo wanauza bei iliyopo Kwa jumla. Ukipita kwa Agent anapunguziwa 10%, 5% yako 5% yake. Maisha ndivyo yanaenda. Ila sasa 5% unaweza kuona ni ndogo ukilinganisha na usumbufu wa hapa na pale unaamua kuchukua mzigo mwenyeweKiwandani akuna punguzo kwa mteja