Bei za Malighafi mbalimbali za ujenzi

Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 12 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
Hizi mbao zako ndio za miti ya cyprus? Niliuliza siku za juzi kama una mbao za futi 20 naona kama hujanijibu mkuu. Niko serious, nauhitaji mbao Mwezi huu.
 
Mwenye kujua utaratibu wa kununua bati kiwandani Alaf au Sunshea please.

Hakuna utaratibu mkubwa sana. pale Alaf wao unaenda mapokezi kwa afisa masoko pale unakutana na sample nyingi unachagua unachotaka, baada ya kuchagua rangi na design ya bati ambayo tayari ina price list una press order kwa sales personel palepale then unapewa Invoice na account number ukalipie Benki. ukishapewa risiti ya malipo unarejesha rist yako kwa afisa masoko(sales personel) anakupa siku 3 hadi 5 kuja kuchukua mzigo wako.

Kwa nyongeza ni hivi, pale nje ya kiwanda kuna mawakala( agents) wanauza mabati kutoka kiwandani. Wao unawapa order au unaambatana nao kiwandani utafata utaratibu kama huo hapo juu isipokuwa order yako itakwenda kwa jina la wakala. Pesa unalipa mwenyewe mzigo unachagua mwenyewe. Faida yake ni kuwa Wakala atapata punguzo la 10% ambapo wewe utakula 5% na wakala 5%. Chaguo ni lako.

Sunshare utaratibu ni almost same, ila wao sijaona mawakala in between.
 
silk white.jpeg


silk wash n wear
nyeupe utaipata kwa 105,000

20lt very good quality

karibuni
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 12 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
Ok boss
 
Huku mkoani ndoo moja tunainunua kwa 37000/=, kumbe wanatuibia

Hapana inategemea na kampuni pamoja na gharama nyingine

Manake kusafirisha ndoo moja ni 4000 + 27000 ni 31,000

Ukichukua nyingi negotiation ipo
 
Hakuna utaratibu mkubwa sana. pale Alaf wao unaenda mapokezi kwa afisa masoko pale unakutana na sample nyingi unachagua unachotaka, baada ya kuchagua rangi na design ya bati ambayo tayari ina price list una press order kwa sales personel palepale then unapewa Invoice na account number ukalipie Benki. ukishapewa risiti ya malipo unarejesha rist yako kwa afisa masoko(sales personel) anakupa siku 3 hadi 5 kuja kuchukua mzigo wako.

Kwa nyongeza ni hivi, pale nje ya kiwanda kuna mawakala( agents) wanauza mabati kutoka kiwandani. Wao unawapa order au unaambatana nao kiwandani utafata utaratibu kama huo hapo juu isipokuwa order yako itakwenda kwa jina la wakala. Pesa unalipa mwenyewe mzigo unachagua mwenyewe. Faida yake ni kuwa Wakala atapata punguzo la 10% ambapo wewe utakula 5% na wakala 5%. Chaguo ni lako.

Sunshare utaratibu ni almost same, ila wao sijaona mawakala in between.
Kiwandani akuna punguzo kwa mteja
 
Kiwandani akuna punguzo kwa mteja
Hakuna punguzo wanauza bei iliyopo Kwa jumla. Ukipita kwa Agent anapunguziwa 10%, 5% yako 5% yake. Maisha ndivyo yanaenda. Ila sasa 5% unaweza kuona ni ndogo ukilinganisha na usumbufu wa hapa na pale unaamua kuchukua mzigo mwenyewe
 
Back
Top Bottom