Beba vyakula vyako toka Tandale kwa tumboHujielewi kakwambia bus linakupeleka kwa lazima we unasema ajaribu kwingine kivipi na hotel ni moja hiyo hiyo.
Hizi hotel zitofautishe chakula cha watalii / wenye pesa zao na watu wa kawaida ,kama vipi watenge VIP na kawaida ili kutoumiza watu maana unajikuta tu bus limesimama hapo