bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Si umepanda Luxury, Panda chakito utapelekwa Liverpool 2500 chips kuku.
panda mabasi yasiyosimama pale ukale chakula kilichochachaUkiwa njiani kuelekea Arusha-Dsm/ Dsm-Arusha .. sasa Magari Mengi yanapita Pale Hotel Mpya Ya Kilimanjaro.
Hakika Bei ya Vyakula waliyoweka Si Rafiki kabisa Kwa msafiri na nnadhani wanakomoa kwa Vile Msafiri anakua hana Option Mbadala.
COUPON YA CHIPS KUKU POTION /NYAMA FINYANGO TANO NI Tsh 7000/=
Kumbuka Kuku wanamgawa mara nne.
MISHKAKI YENYE VINYANGO NNE HAFIFU NI TSH 2000/=.
SAMBUSA/MAANDAZI NI TSH 2000/=
Utaishia kicheka ukiziona.
Imepelekea mpaka wale jamaa wanaouza matunda maeneo yale nao kua na Bei Juu .
Kamfuko ka Machungwa ni Tsh 5000/= . ...
Ipo haja ya Bei hizi kuingiliwa na mamlaka husika , wakiachiwa ipo siku tutauziwa andazi Tsh 5000/=
Na wasipolitizama Hili kwa Haraka , italeta Athari mpaka kwnye magari yanayopita pale.
Dharula kama misiba havina kupanga bajeti. Wapange bei affordable!Sasa unatakiwa unapojua una safari ujiseti vizuri bajeti zako.
Mkuu umenifurahisha ulivyosema basi linakupeleka kwa lazima,hahahahahahahaHujielewi kakwambia bus linakupeleka kwa lazima we unasema ajaribu kwingine kivipi na hotel ni moja hiyo hiyo.
Hizi hotel zitofautishe chakula cha watalii / wenye pesa zao na watu wa kawaida ,kama vipi watenge VIP na kawaida ili kutoumiza watu maana unajikuta tu bus limesimama hapo
Ni kweli,ila ukiona haupo vizuri panda basi la kawaida,income yako ndio inaku allocate upande basi gani,panda gari la kawaida ambapo utapata chakula cha 2000,mbona yapo mengi tu.Dharula kama misiba havina kupanga bajeti. Wapange bei affordable!
Liverpool palivyo pachafu waiiilabda pengine ni kutokana na quality ya chakula. hivi Liverpool pakoje siku hizi?
Liverpool cku hiz wamefulia,zamani walikua vizuri sana.wabadilike!..Liverpool palivyo pachafu waiii
Ushauri wako naufanyia kazi ila uwaambie madereva wasitupeleke kwenye hotels kwa kutung'ang'aniza ili wapate posho.Ni kweli,ila ukiona haupo vizuri panda basi la kawaida,income yako ndio inaku allocate upande basi gani,panda gari la kawaida ambapo utapata chakula cha 2000,mbona yapo mengi tu.
Ushauri wako naufanyia kazi ila uwaambie madereva wasitupeleke kwenye hotels kwa kutung'ang'aniza ili wapate posho.Ni kweli,ila ukiona haupo vizuri panda basi la kawaida,income yako ndio inaku allocate upande basi gani,panda gari la kawaida ambapo utapata chakula cha 2000,mbona yapo mengi tu.
How can you compare their quality with others. Their is so poor hata mama ntilie vyakula vyao ni bora kulinganisha na waoNaam, bei yapo ipo juu kutokana na ubora pamoja na uhakika wa vyakula vyao.
Mimi huwa nikipita pale nakula huku najiamini kabisa. Nachukua Coupon yangu ya kule kwenye vyakula mchanganyiko, napiga pyuu alafu napanda kwa gari kupumzika. Sina wasiwasi kabisa...
Kama KILIMANJARO MOTORWAY FAST FOOD ni ghali, jaribu kwingine.
Umenena vyema mkuu, moja ya njia zenye hotel hooovyo kwa tz ni njia ya kanda ya ziwa,wachafu vyakula vimepoa,sometimes vya juzi,nalazimika kula biskut siku zoteBora nile msosi Mombo 10000 kuliko kula singida/bahi/manyoni (dar-mwanza) 5000.
mkuu ubora na usafi kwa msafiri ni kipaumbele namba moja .
Maana hauwezi kuvumiliwa kuchimba dawa zaidi ya mara sita kisa tumbo linakuuma unahara...
Mkuu umenifurahisha ulivyosema basi linakupeleka kwa lazima,hahahahahahaha
Ukiwa njiani kuelekea Arusha-Dsm/ Dsm-Arusha .. sasa Magari Mengi yanapita Pale Hotel Mpya Ya Kilimanjaro.
Hakika Bei ya Vyakula waliyoweka Si Rafiki kabisa Kwa msafiri na nnadhani wanakomoa kwa Vile Msafiri anakua hana Option Mbadala.
COUPON YA CHIPS KUKU POTION /NYAMA FINYANGO TANO NI Tsh 7000/=
Kumbuka Kuku wanamgawa mara nne.
MISHKAKI YENYE VINYANGO NNE HAFIFU NI TSH 2000/=.
SAMBUSA/MAANDAZI NI TSH 2000/=
Utaishia kicheka ukiziona.
Imepelekea mpaka wale jamaa wanaouza matunda maeneo yale nao kua na Bei Juu .
Kamfuko ka Machungwa ni Tsh 5000/= . ...
Ipo haja ya Bei hizi kuingiliwa na mamlaka husika , wakiachiwa ipo siku tutauziwa andazi Tsh 5000/=
Na wasipolitizama Hili kwa Haraka , italeta Athari mpaka kwnye magari yanayopita pale.