Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Ajaribu kwingine wapi wakati amemwagwa hapo KLM na basi alilosafiri nalo?Kama KILIMANJARO MOTORWAY FAST FOOD ni ghali, jaribu kwingine.
Kwa wanaosafiri na private car it's their choice.
Ajaribu kwingine wapi wakati amemwagwa hapo KLM na basi alilosafiri nalo?Kama KILIMANJARO MOTORWAY FAST FOOD ni ghali, jaribu kwingine.
Naam, bei yapo ipo juu kutokana na ubora pamoja na uhakika wa vyakula vyao.
Mimi huwa nikipita pale nakula huku najiamini kabisa. Nachukua Coupon yangu ya kule kwenye vyakula mchanganyiko, napiga pyuu alafu napanda kwa gari kupumzika. Sina wasiwasi kabisa...
Kama KILIMANJARO MOTORWAY FAST FOOD ni ghali, jaribu kwingine.
Sehemu za fast food huko njiani unapokuwa safarini huwa ni bei usitegeme utauziwa bei za wapemba wa mjini hkuHiyo kusema siku zote umeitoa wap . ?
Tukiendeleea kuwa ja wananchi wenyewe Vichwa Mgando na Kuwaza kila Anachokifanya na kupangiwa na Binadamu mwenzanke ni sawa pasi kua na Uwezo wa Kuuliza Basi Tutabaki kama Tulivyo Milele.Sehemu za fast food huko njiani unapokuwa safarini huwa ni bei usitegeme utauziwa bei za wapemba wa mjini hku
Ova
Hapa ndipo utagundua wengi watukanaji humu wa serikali ni mamangiNaam, bei yapo ipo juu kutokana na ubora pamoja na uhakika wa vyakula vyao.
Mimi huwa nikipita pale nakula huku najiamini kabisa. Nachukua Coupon yangu ya kule kwenye vyakula mchanganyiko, napiga pyuu alafu napanda kwa gari kupumzika. Sina wasiwasi kabisa...
Kama KILIMANJARO MOTORWAY FAST FOOD ni ghali, jaribu kwingine.
Sante kwa kutujuza hata hayo magari ndo kichocheo si lazima kwenda nayo stop over zipo nyingi dawa ni kukemea madereva wa waambie madalali waoUkiwa njiani kuelekea Arusha-Dsm/ Dsm-Arusha .. sasa Magari Mengi yanapita Pale Hotel Mpya Ya Kilimanjaro.
Hakika Bei ya Vyakula waliyoweka Si Rafiki kabisa Kwa msafiri na nnadhani wanakomoa kwa Vile Msafiri anakua hana Option Mbadala.
COUPON YA CHIPS KUKU POTION /NYAMA FINYANGO TANO NI Tsh 7000/=
Kumbuka Kuku wanamgawa mara nne.
MISHKAKI YENYE VINYANGO NNE HAFIFU NI TSH 2000/=.
SAMBUSA/MAANDAZI NI TSH 2000/=
Utaishia kicheka ukiziona.
Imepelekea mpaka wale jamaa wanaouza matunda maeneo yale nao kua na Bei Juu .
Kamfuko ka Machungwa ni Tsh 5000/= . ...
Ipo haja ya Bei hizi kuingiliwa na mamlaka husika , wakiachiwa ipo siku tutauziwa andazi Tsh 5000/=
Na wasipolitizama Hili kwa Haraka , italeta Athari mpaka kwnye magari yanayopita pale.
Hao nao Bomu kabisa. Bei kubwa kipimo kidogo sanaMuwe mnakula Liverpool Mombo
....Kuna wengine wanasafiri kimatatizo,so wanaweza wasiwe na pesa ya kutosha.Hiyo ni bei ya kawaida mkuu,ukisafiri unatakiwa kuwa na hela ya kutosha.