SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
Ni vyema suala la chakula kwa wasafiri iwe kwenye vituo vikuu vya mabasi ili kila abiria awe na uhuru wa kuchagua wapi apate huduma. Pale Mombo chai ya rangi kikombe cha kawaida ni shilingi 1,000, wakati kawaida ni shilingi 300.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app