Bei ya sukari nchini yashuka kwa Sh,1500

Bei ya sukari nchini yashuka kwa Sh,1500

Hahahaha magazeti bwana yaani wameandika mahesabu yao ili watuvuruge tu tusielewe ukisoma fasta fasta utafikiri wamesema kilo ni 1500 kumbe sio
 
UKAWA watakua wamenuna huko waliko.. Wanatamani watanzania wapate shida ili wao wapate kura 2020
Sio UKAWA acha siasa kwny maslah ya wananchi we familia yako inahudumiwa mpk kiberiti sie tunaonunua ndo tunajua bei!
 
Kwani wapi palipoandikwa kuwa sukari kilo moja ni sh 1500??

Ni vema ukasoma habari kabla kuanza kuchangia!!

Habari inasema bei ya SUKARI imeshuka kwa wastan wa sh 900 mpaka sh 1500, haisemi kuwa bei ya SUKARI ni sh 1500 laahasha!!

Kama ilikuwa ikiuzwa sh 4000 na sasa inauzwa sh 2500 na maeneo mengine ni 2400, Kuna kupungua kwa bei kwa wastan wa sh 900 mpaka 1500.
hapo sawa nimekuelewa!
 
Nilichoana kwenye huu uzi vijana wa UKAWA kichwani wana funza tu kama Mwenyekiti wao Mbowe.. Yaani hata neno "wastani" hamujui maana yake??

Mtu unaambiwa bei imeshuka kwa wastani wa 900-1500 mpaka bei elekezi sasa kuwa 2400 lakini wao akili zinawatuma eti bei ni 1500. Hivi hamusomi post yote au ndio mtindio wa ubongo? Bei ilivyokiwa 3500 mpaka 4000 si mlikuwa mkishabikia humu??
 
Dah... Ile 61℅ ya wasomi inakuhusu [emoji4] [emoji4]
Upo sahihi kabisa, Habari inasema bei ya SUKARI imeshuka kwa wastan wa sh 900 mpaka 1500 lakini vilaza walio wengi wameelewa ndivyo sivyo kwamba bei ya sukari ni sh 1500 [emoji1]
 
Haya ndo magazeti yanayotakiwa kufungwa. Wanaandika habari zilizokosa utafiti wa kina.
Mi simwelewi kusema bei ya sukari imeshuka wakati nanunua sukari kwa 3000.
 
NImenunua sukari week jana kilo 3000 hiyo ya 1500 iko wapi niifuate
1500 per kg iyo sukari labda imetoka China na imetengenezwa kutokana na chupa za maji zilizotumika
Elewa kitu kabla hujabisha maanake hata kama una point haitaleta maana. Hajasema sukari inauzwa 1500/- kasema imeshuka kwa 1500/- yaani kutoka 3500-4000 sasa hivi imeshuka hadi 2400/-.
 
labda Chato bei ndiyo imeshuka kwa 1500/=
napoishi mimi sukari kilo 2800/=
 
Back
Top Bottom