FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
hali ilikuwa hivyo.. Leo imeshuka hamna shukrani zaidi ya kurusha matusi.. Baraza la Vichaa Chadema..
Bw. Mkulu ebu tuangalieni hii siyo haki kabisa haiwezekani tununue sukari kwa bei hii.
Kwa kweli nimeshangaa maana wiki iliyopita nilinunu kwa 3500 leo tu imefika 5000
Wanajf vipi huko kwenu bei ya sukari ipoje??