Bei ya sukari nchini yashuka kwa Sh,1500

Bei ya sukari nchini yashuka kwa Sh,1500

Kwani wapi palipoandikwa kuwa sukari kilo moja ni sh 1500??

Ni vema ukasoma habari kabla kuanza kuchangia!!

Habari inasema bei ya SUKARI imeshuka kwa wastan wa sh 900 mpaka sh 1500, haisemi kuwa bei ya SUKARI ni sh 1500 laahasha!!

Kama ilikuwa ikiuzwa sh 4000 na sasa inauzwa sh 2500 na maeneo mengine ni 2400, Kuna kupungua kwa bei kwa wastan wa sh 900 mpaka 1500.
Asante mkuu kwa kuwafafanulia watu humu hawaelewi ila wanakurupuka tu na kuanza kupinga kitu wasichokielewa.
 
Mimi nachoelewa ni kwamba hapo awali tulikuwa tukinunua sukari shilingi 2000 kwa kilo. Baada ya matamko bei imepanda hadi 2300. Vipi hapo, bado sina akili?
Mkuu hakuna nilipo kuambia huna akili, Bali nimesema kuelewa kazi sana
 
Wap huko wanauza sugar 1,500/= uniletee hata kila hamsini kwa 2000/
Kuelewa ni gharama kubwa sana.. Hapa Tanzania.. Unashindwa nini kuomba kueleweshwa kama jambo ujaelewa.. 61% ya jambo Leo
 
Nimenunua Jana, 1kg sh 2000 mbesa tunduru ndani
 
Asante mkuu kwa kuwafafanulia watu humu hawaelewi ila wanakurupuka tu na kuanza kupinga kitu wasichokielewa.

Ndio maana sisi wa Afrika tuna uana kila siku, hua hatutumii akili na kufikiria jambo au suala kwanza. Mtu ukimabia mguu yeye atakuanzia mikono, Hilo ndio chanzo kubwa la migogoro.
 
Back
Top Bottom