Kupanda kwa bei ya Sukari na wapiga dili

Kupanda kwa bei ya Sukari na wapiga dili

BabuFey

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
2,755
Reaction score
4,365
Bei ya sukari imepaa kutoka wastani wa shs 3000 kwa kilo kufikia elfu tano baadhi ya mikoa ya pembeni. Kila ikifika wakati wa viwanda vya ndani kusimamisha uzalishaji hali hii hujirudia na si bahati mbaya.

Jambo hili linanikumbusha Luhaga Mpina aliposimama kidete kuhusu kampuni ya vocha kupewa tenda kuagiza cheap sukari toka Brazil na ikamtokea puani.

Kampuni hiyo ya vocha ilihusishwa na mke mdogo wa mtoto wa mtu mkubwq nchini, je tunashuhudia marudio.
 
Bei ya sukari imepaa kutoka wastani wa shs 3000 kwa kilo kufikia elfu tano baadhi ya mikoa ya pembeni.
Kila ikifika wakati wa viwanda vya ndani kusimamisha uzalishaji hali hii hujirudia na si bahati mbaya.
Jambo hili linanikumbusha Luhaga Mpina alipo simama kidete kuhusu kampuni ya vocha kupewa tenda kuagiza cheap sukari toka Brazil na ikamtokea puani.
Kampuni hiyo ya vocha ilihusishwa na mke mdogo wa mtoto wa mtu mkubwq nchini, je tunashuhudia marudio.
1000402375.jpg
 
Bei ya sukari imepaa kutoka wastani wa shs 3000 kwa kilo kufikia elfu tano baadhi ya mikoa ya pembeni. Kila ikifika wakati wa viwanda vya ndani kusimamisha uzalishaji hali hii hujirudia na si bahati mbaya.

Jambo hili linanikumbusha Luhaga Mpina aliposimama kidete kuhusu kampuni ya vocha kupewa tenda kuagiza cheap sukari toka Brazil na ikamtokea puani.

Kampuni hiyo ya vocha ilihusishwa na mke mdogo wa mtoto wa mtu mkubwq nchini, je tunashuhudia marudio.
Taja majina huna la kuficha
 
Bei ya sukari imepaa kutoka wastani wa shs 3000 kwa kilo kufikia elfu tano baadhi ya mikoa ya pembeni. Kila ikifika wakati wa viwanda vya ndani kusimamisha uzalishaji hali hii hujirudia na si bahati mbaya.

Jambo hili linanikumbusha Luhaga Mpina aliposimama kidete kuhusu kampuni ya vocha kupewa tenda kuagiza cheap sukari toka Brazil na ikamtokea puani.

Kampuni hiyo ya vocha ilihusishwa na mke mdogo wa mtoto wa mtu mkubwq nchini, je tunashuhudia marudio.
Yaani hadi MO kaingia kwenye Sukari basi jua hapoo kuna upigaji maana MO janja janja "NI NTU YA DILI".
 
Ukishakua Waziri Mkuu sahau kua rais labda uwe rais wa mawe ni system ipo hivyo sio mimi labda uue nchi nzima ndio ujipachike ufalme sio urais, imfikie Madilu popote alipo
Madilu System na ndoto zake za alinacha za kuwa Raisi😂 Labda Raisi wa Mawe!
 
Back
Top Bottom