Bei ya kuku wa kienyeji imekuwa juu sana

Hio ni bei ya jumla sio kwa reja reja. Wakifika sokoni ndo watauzwa kwa bei ya 18000 hadi 20000
huku kwetu si aghlabu kukuta wanauzwa kwa bei ya jumla, maana wafugaji wachache wa kuku wa kienyeji. Wengi wanafuga wale kama broiler na kuna hawa wengine wanaitwa Kroiler, huyu Kroiler anafika 25,000 lakini anakuwa na nyama kweli kweli nae.

Huku kwetu kuna vibroiler vinatoka uturuki vinauzwa buku 7, ila broiler wa hapa kwetu buku tisa.
 
Namaanisha huyo kaenda ndani ndani huko kununua wa jumla ili aje auze reja reja. kwa hao unaonunua nao wameenda huko masoko ya jumla kununua kwa bei zao kisha wanakuja kukuuzia kwa bei unayoitaja hapa
huku kwetu si aghlabu kukuta wanauzwa kwa bei ya jumla, maana wafugaji wachache wa kuku wa kienyeji. Wengi wanafuga wale kama broiler na kuna hawa wengine wanaitwa Kroiler, huyu Kroiler anafika 25,000 lakini anakuwa na nyama kweli kweli nae.

Huku kwetu kuna vibroiler vinatoka uturuki vinauzwa buku 7, ila broiler wa hapa kwetu buku tisa.
 
Mkuu inaonekana umeenda kwa dalali ambaye naye kachukua toka kwa mkulima so anajifanya nae mkulima nataka nikupe mbinu moja kuwa ukitaka uwapate kwa bei rafiki,ww onana na mkulima unachukua tenga zima mnaanza kuwaangalia muonekano na idadi ya kuku halafu mnaanza kupanga bei ya kuku wote kwa mfano wapo kuku 100 wakubwa 70 na wa size ya kati 30 Hapo mnaweka bei ya kuku wote kuwa kila kuku ntanunua kwa buku 7,8 au 9 haijalishi mkubwa au mdogo wote wananunuliwa kwa bei moja sasa baada ya hapo ww unapeleka sokoni kuku wakubwa utauza kati ya buku 17 hadi 25 halafu wadogo utauza kuanzaia buku 12 hadi 15 sasa hapo kuku wakubwa wanakuja kuwabeba kuku wadogo ktk uuzaji ambapo ww labda umepanga kila kuku upate faida ya buku 5 unajikuta unapata iyo pesa ingawa kila mmoja unamuuza kwa bei yake na mm nakwambia ivyo kwa sababu hiyo business nimefanya sana so naijua vizuri ila tegemea changamoto ya vifo wkt wa usafirishaji.Pole kwa gazeti
 
Mkuu inaonekana umeenda kwa dalali ambaye naye kachukua toka kwa mkulima so anajifanya nae mkulima nataka nikupe mbinu moja kuwa ukitaka uwapate kwa bei rafiki,ww onana na mkulima unachukua tenga zima mnaanza kuwaangalia muonekano na idadi ya kuku halafu mnaanza kupanga bei ya kuku wote kwa mfano wapo kuku 100 wakubwa 70 na wa size ya kati 30 Hapo mnaweka bei ya kuku wote kuwa kila kuku ntanunua kwa buku 7,8 au 9 haijalishi mkubwa au mdogo wote wananunuliwa kwa bei moja sasa baada ya hapo ww unapeleka sokoni kuku wakubwa utauza kati ya buku 17 hadi 25 halafu wadogo utauza kuanzaia buku 12 hadi 15 sasa hapo kuku wakubwa wanakuja kuwabeba kuku wadogo ktk uuzaji ambapo ww labda umepanga kila kuku upate faida ya buku 5 unajikuta unapata iyo pesa ingawa kila mmoja unamuuza kwa bei yake na mm nakwambia ivyo kwa sababu hiyo business nimefanya sana so naijua vizuri ila tegemea changamoto ya vifo wkt wa usafirishaji.Pole kwa gazeti
Ulikuwa unachukulia wap boss wangu? Na ulikuwa unatumia usafiri gani kuleta huku mjini ni basi au?
 
Back
Top Bottom