Kuna jamaangu mmoja yupo Dar juzikati akaniuliza kuhusu bei ya kuku Dodoma.nikamwambia sijui mana mm nipo mjini ngoja niulizie watu wa vijijini.
Nilivyouliza watu wa vijijini wakaniambia kuku mkubwa kabisa Tsh 7000 hadi 8000. Jamaa akaniomba nikamnunulie kuku 200 nikasema ngoja niende nikajifunze biashara ya kuku,Leo nimeenda mnadani na bodaboda nikakuta kuku bei juu kweli wanaaanzia 12000 jogoo mkubwa kabisa na kuku wa wastani 8000.
Nikaishia kununua kuku 100 Kwa wastani wa 9800 waliobaki nitaenda kununua kesho mnada mwingine. Wameniambia kuku huwa wanakuwa bei chee sana kuanzia mwezi wa 11.
Ila fursa zingine nilizoziona ni ununuzi wa mbuzi na ng'ombe wamasai wanapiga hela sana unakuta Dogo hana hata suruali anauza madume 20 ya ng'ombe.
Nilivyouliza watu wa vijijini wakaniambia kuku mkubwa kabisa Tsh 7000 hadi 8000. Jamaa akaniomba nikamnunulie kuku 200 nikasema ngoja niende nikajifunze biashara ya kuku,Leo nimeenda mnadani na bodaboda nikakuta kuku bei juu kweli wanaaanzia 12000 jogoo mkubwa kabisa na kuku wa wastani 8000.
Nikaishia kununua kuku 100 Kwa wastani wa 9800 waliobaki nitaenda kununua kesho mnada mwingine. Wameniambia kuku huwa wanakuwa bei chee sana kuanzia mwezi wa 11.
Ila fursa zingine nilizoziona ni ununuzi wa mbuzi na ng'ombe wamasai wanapiga hela sana unakuta Dogo hana hata suruali anauza madume 20 ya ng'ombe.