mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,712
Wakala wa tanform kwa dsm n sehemu ganiSi mbaya sana japo Dar ni 260,000 na Mikoani Kwa Wakala ukilia lia ni 277,000.
Wakala wa tanform kwa dsm n sehemu ganiSi mbaya sana japo Dar ni 260,000 na Mikoani Kwa Wakala ukilia lia ni 277,000.
Wapi ulinunulia kwa hapa dar
Piga hii namba boss ni ya TANFOAM HQ watakupa namba ya wakala DSM +255 789 210 210. Mimi kuna mtu alinifanyia michakato nikabeba kwa 240k inch 5*8 la kava gumu.Wakala wa tanform kwa dsm n sehemu gani
Hayo yanatengenezwa hapo hapo mwanza Igogo.Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Mkuu hapo Unga Ltd wa nauza bei gani 5*6Nenda kiwandani pale ungalimited utapata bajaji ya kubebea au wanastoo zao pale ukimaliza kiwanda cha unga cha monaban
Hii ya spring inakuwa na utofauti gani na mengine yasiyo ya spring?Kama una matatizo ya mgongo, nunua godoro la spring la tanfoam hutojutia. Bei ya mwaka juzi ilikua Tsh 550,000/- Size 5x6. La ukweli sana hutojutia.
Utuletee mrejesho baada ya kutumiaAhsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Kwakweli hata Mimi nimetumia godoro jipya la Tanfoam na kuumia mgongo haswaKampuni iseme kitu la sivyo watapoteza wateja wengi. Mimi nimekuwa mteja wao lkn ukinunua miaka 2 bahati . Yani unaumia mgongo.
Mkuu kama hutojali naomba uniambie kwa Dar nawapata wapi mawakala wa hizi kampun mbili?Tanfom na Dodoma nahitaji 6×6 8nch pia kwa aliyewahi kununua anipe idea ya bei.Usinunue godoro kwenye maduka ya kawaida hapo ulipo jitahidi ufike kwa wakala wa Tanfoam hutojutia.
Godoro madhubuti,imara na maridadi kabisa kwa thamani ya pesa yako.
Mkuu kama hutojali naomba uniambie kwa Dar nawapata wapi mawakala wa hizi kampun mbili?Tanfom na Dodoma nahitaji 6×6 8nch pia kwa aliyewahi kununua anipe idea ya bei.
Nashkuru sana.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Nashkuru sana mkuu nimeshafanikiwa kupata # yao,nita-check nao kesho.Tanfom wapo Vingunguti opposite na kiwanda cha Pepsi
Wana instagram page yao unaweza pata namba na bei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama hutojali naomba namba zao na mm nahitaji tanfom npo darNashkuru sana mkuu nimeshafanikiwa kupata # yao,nita-check nao kesho.
Asante sana
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ukihama hapo kwa mume wa dada yako ndio utaona umuhimu wa uzi kama huukwahyoo siku hizi ....great thinker wana uliza bei ya magodoro .....?
Mwakani great thinkers watauliza hadi bei ya chupi na chandarua ..........
Oh my enemy wants to kill me for no reasons.......