jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za asubuhi ndugu zangu..
Nahitaji kubadilisha godoro nililo nalo kwa sababu linaumiza sana mgongo wakuu inafika mahali unalala inabidi uamke katikati ya usingizi uanze mazoezi ya kunyoosha viungo na kupumzika ndio nilale tena kuvuta tuu muda giza liishe.
Nahitaji kununua godoro jingine ila nafikiria kununua godoro la kampuni ya Tanfoam au godoro la comfy la 5*6 inch 8; Sasa sijajua lipi ni godoro bora zaidi ndugu zangu na bei yake ipoje wakuu.
Mwenye kufahamu na mwenye uzoefu wa hayo magodoro naomba anisaidie ndugu zangu .
Asante:
Nahitaji kubadilisha godoro nililo nalo kwa sababu linaumiza sana mgongo wakuu inafika mahali unalala inabidi uamke katikati ya usingizi uanze mazoezi ya kunyoosha viungo na kupumzika ndio nilale tena kuvuta tuu muda giza liishe.
Nahitaji kununua godoro jingine ila nafikiria kununua godoro la kampuni ya Tanfoam au godoro la comfy la 5*6 inch 8; Sasa sijajua lipi ni godoro bora zaidi ndugu zangu na bei yake ipoje wakuu.
Mwenye kufahamu na mwenye uzoefu wa hayo magodoro naomba anisaidie ndugu zangu .
Asante: