Bei ya Godoro la Tanfom Arusha na QFL Dodoma

Kama una matatizo ya mgongo, nunua godoro la spring la tanfoam hutojutia. Bei ya mwaka juzi ilikua Tsh 550,000/- Size 5x6. La ukweli sana hutojutia.
Spring sio godoro kwa anaeumwa mgongo hapo unamuongezea kuumwa zaidi zipo godoro mbili tu hapo either special kwako Orthopedic brands zipo nyingi
Au density ya 28 hapo kuna vita supreme
AU GSM TANZANITE
 
Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
vizuri umepata boss
 
Usinunue godoro kwenye maduka ya kawaida hapo ulipo jitahidi ufike kwa wakala wa Tanfoam hutojutia.

Godoro madhubuti,imara na maridadi kabisa kwa thamani ya pesa yako.
Popote ni umakini tu hakuna kiwanda kinachotengeneza fake boss
Hiyo ni kubadili kava tu ambacho ukiwa makini huwezi kupigwa mbona kila siku matangazo ya utambuzi godoro zao yanatolewa mhuri wa moto
 
Natumia hilo la GSM lakini linabonyea ukilala ukiamka unajisikia kabisa hauko poa. Wallah sikutegemea kama lingekuwa na sagging this much maana lilipigiwa debe sana kuwa ni zuri. DISSAPOINTED 🤔
Yaani siooo godoro
 
Yaani siooo godoro
Niliwahi kununu godoro pale kwenye maonesho ya 77, jinsi lilivyonifanya, maonesho yaliofatia ya 77 niliwafata nikawaaambia ukweli kwamba magodoro yenu hayana viwango, povu likawatoka, nikawaacha hapo nikaondoka. Magodoro ya GSM ni uchafu tu
 
Kuna ujinga unaitwa Relax sitaki kuusikia tena!

Wameurembaremba nikapigwa promo ya kufa mtu hatimaye mwaka wa pili haujaisha tayari nikilala utadhani nimelalia jamvi lililotandikwa kwenye chaga!
 
Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Naomba mawasiliano yake.
 
Mkuu hamna kitu napenda kama kitu Bora et , hapa penyewe najipanga kununua mziki wa Sony tz 40, miziki ya kichina China sjui kodtec, sea piano, boss n.k hapana Kwa kweli, kuhusu godoro la Tanfomu nilienda maduka ya mtaani wanauza 250k, nikaenda kwenye duka moja kubwa kdogo jamaa akanambia 300K, nikamwambia mbna wengne wanauza Kwa 250, akasema hyo ni paste , akasema kama nahtaji hzo yeye atanipa Kwa 230K, but Kwa Tanfomu og mwisho ni 300k, ....

Nikaona isiwe tabu , nikawatafuta Tanfomu makao makuu Arusha wakanielekeza Kwa wakala mkuu Kanda ya ziwa, nikawanyokea kwenye depo yao wakadai bei ya kuuza ni 300K, ila wakaniambia msimu wa siku kuu huwa kuna punguzo mpak asilimia 25 ko nikihitaj Zaid nitegee msimu wa sikukuu, mi nikachukua bidhaa nikasepa, kama wamenipiga fresh Ila kwangu nimechukua kitu nilichojiridhisha....
Naomba mawasiliano yao.
 
Back
Top Bottom