Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,153
- 15,607
+255789210210 hizi hapa mkuu.Mkuu kama hutojali naomba namba zao na mm nahitaji tanfom npo dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
+255789210210 hizi hapa mkuu.Mkuu kama hutojali naomba namba zao na mm nahitaji tanfom npo dar
Sent using Jamii Forums mobile app
MhhRaha ya godoro ulalie upande huu ubonyee uwe chapati/mtumbwi
unageuza upande wa pili unalalia tena,unageuza tena na tena
yani unajisikia hadi raha kugeuza geuza godoro
unalalaje kwenye godoro husikii hata chaga ikikugusa (huo ni ulaini sana na nyie)
kidume lalie godoro uskiee kabisa mbavu imekita kwenye chaga
Maswala mnalalia godoro lineneeeeeeeeeee linakaaa miaka na miaka
huko madukan watakula nini wao...ebuuuuuuu
Yaan wewe...upo chooni nauhakika sio kwa mguno huu
pal nmekumiss...
Unaweza kujua bei ya 4*6*8 LA Spring matress mkuu.GSM Yapo Sawa Sawa
6X6X12 TSHS 390000/=
5X6X10 TSHS 300000/=
4X6X8 TSHS 85000/=
Nikipita Dukani Kwao Nitauliza
Ni sh ngapi hayo GSM? Na hayaumizi mgongo?
Mm naenda kiwandani kabisa ,alaf bei inakuaga cheap kuliko kwa mawakalamimi naangaliaga uzito. mfano, ntaenda duka wanalouza 260k na kulinyanyua kuona uzito wake the nitaenda wanapouza 300k nacheki uzito, kama yako sawa nanunua la 260k godoro OG ni zito haliwi jepesi, weka hili kichwani litakusaidia.
Natumia hilo la GSM lakini linabonyea ukilala ukiamka unajisikia kabisa hauko poa. Wallah sikutegemea kama lingekuwa na sagging this much maana lilipigiwa debe sana kuwa ni zuri. DISSAPOINTED 🤔Ni sh ngapi hayo GSM? Na hayaumizi mgongo?
Mie pia ninalo inch 8 6x6 hata miezi mitano haijaisha lishageuka mtumbwi 🤔Hii mkuu sikubaliani na wewe, mimi ninalo nchi 10 nilinunua kwenye duka lao mpaka leo lipo fresh na umeshapita mwaka mmoja sasa.
Nikushauri ndugu nunua godoro original na lenye waranti kabisaWakuu nataka kununua godoro bora, na sio la kuumiza mgongo, katika kutafuta taarifa humu nikagundua Magodoro ya Tanfom na QFL magodoro Dodoma ndiyo the best. Kama kawaida nikaingia mtaani kusaka godoro la inch 8, 5×6.
Kwa kampuni zote mbili, wengine wanauza 260000, wengine wanauza 300000, nilipomuuliza anayeuza 300000 kuwa kwa nn wengine wanauza 260000 na yeye kang'ang'ania piga ua mwisho 300000, akadai hayo ya 260k ni fake.
Naomba msaada kwa waliowahi kununua haya magodoro upande wa bei, je bei ya 300k kwa inch 8 , 5×6 ndo bei yenyewe au miyeyusho.
Natanguliza shukrani
Bei ni ya muda hiyo boss kwa Tan foam maana kwa sasa limeenda 320000 mpaka 330000Mimi nimenunua 260,000 Tanform Og
Kama unahitaji lisiloumiza mgongo chukua la density ya 28 zipoNi sh ngapi hayo GSM? Na hayaumizi mgongo?
Hakuna godoro fake boss bali unabadilishiwa kava tu kikubwa kagua godoro Tan foam au dodoma zina mihuri ya motoGodoro ni tanfomu, sema kujua fake na og ndo miyeyusho, uanaweza uziwa fake kwa bei ya og,
Hapana boss itakuwa ulichukua density ndogo GSM za sasa mpaka waranti ipoYanavutia kwa nje tu, ukilalia miezi 2 utatakuwa mmiliki wa mtumbwi. Gidoro ni qfl na comfy tu. Bei kila mkoa/ wilaya na bei yake
𝐌𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐢 𝐲𝐚𝐩𝐢 𝐧𝐝𝐮𝐠𝐮He kwanini ulalie godoro ili mradi? Sidhani kama unayatambua madhara ya kulalia godoro ambalo lina matatizo. Kulalia nyasi ni sawa kama huna uwezo wa kununua godoro
Vizuri boss wengi hununua kwa makanjanja bossHii mkuu sikubaliani na wewe, mimi ninalo nchi 10 nilinunua kwenye duka lao mpaka leo lipo fresh na umeshapita mwaka mmoja sasa.