kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 326
Waebrania 13:8
Yesu Kristo ni yeye yule,jana na leo na hata milele.
Amen
Cyo kwa gwajima maana ilishatabiliwa kutakuwa na manabii wa uongo ambao watatumia jina la MUNGU na kwa sasa wapo wengi sana,wanatumia jina la MUNGU lakin wanatumia mazingaombwe makanisani