Begi la askofu mgonjwa

Begi la askofu mgonjwa

Nakushauri uliyerusha hizi picha anza kujisalimisha polisi , sidhani kama hiyo picha uriruhsiwa kupost humu

Kwani ni picha za nani? Na kama niko polisi nijisalimishe wapi kwengine?
 
attachment.php

Hii bastola imeshafanya matukio ya kutosha au ameuziwa secondhand/ used?
 
Mimi mchango wangu, siwezi kuchangia kama hao wengi walio tangulia, inaonekana wanafanya ushabiki Zaidi kuliko kutumia akili zao vizuri, najua ni akili ndogo lakini mlipaswa kujiongeza kidogo
Nani kati yenu asiejua ubabaishaji wa jeshi letu polisi ?

Mtu kama Gwajima na utajili alionao kuna ubaya gani kmiliki bastola, kwani mpaka tushangae hilo wanao toa kibali cha kumiliki bastola kuna mipaka kwa wachungaji ?

Kweliiiii kabisa
 
Nakushauri uliyerusha hizi picha anza kujisalimisha polisi , sidhani kama hiyo picha uriruhsiwa kupost humu
Mkuu kwani hiyo picha ni kweli ya begi la Gwajima lililokamatwa na polisi.?
 
ISAYA 54:17

Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa.
Huu ndiyo urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi,asema Bwama

Iyo mistari kwa wale manabii wa ukweli wa kipindi icho lakin cyo gwajima maana ata unabii wake unatia mashaka tangu zamani
 
Kwa upande wangu bado nina maswali mengi kuliko majibu kuhusiana na taarifa ya polisi. Kwanza ninachojiuliza ni kuwa polisi wanawezaje kudhibitisha kuwa hao wanaoitwa wafuasi wa Gwajima walikuwa na nia ya kumtorosha? Labda kama wakisema walikuwa wameishambeba na kutoka naye nje ya hospitali. Kinyume cha hapo kwa kuonesha bastola na paspoti haidhibitishi nia ya kumtorosha. Vinginevyo jamaa wanaweza kusema walikuwa wameenda kumfanyia maombi mgonjwa.


Pili: Nashindwa kuelewa uharaka wa polisi kutoa taarifa kwa vyombo vya habari huku mambo mengine ambayo yalikuwa ni rahisi kabisa kupatiwa majibu kabla ya taarifa hiyo yakiiacha bila majibu. Hivi najiuliza: Inaichukua polisi masaa mangapi kujua iwapo bastora iliyokamatwa ilikuwa ikimilikiwa kihalali ama vinginevyo!!!? Kwa nini wameshindwa kufanya hivyo na wamekimbilia kutoa taarifa kwa umma!!!!?

Tuisadiane kutafakali hayo machache kwa sasa!
 
Tatu: Kama nia ilikuwa ni kuonesha/kutaja vitu vyote walivyokamatwa navyo hao wafuasi wa Gwajima mbona hawasemi kama walikutwa na biblia!!!? Au tuamini kuwa wachungaji wote hao sita hakuna ata mmoja aliyekuwa amebeba biblia wala kitabu cha tenzi za rohoni!!!? Kama walikuwa navyo mbona havitajwi!!!!?
 
Kwa upande wangu bado nina maswali mengi kuliko majibu kuhusiana na taarifa ya polisi. Kwanza ninachojiuliza ni kuwa polisi wanawezaje kudhibitisha kuwa hao wanaoitwa wafuasi wa Gwajima walikuwa na nia ya kumtorosha? Labda kama wakisema walikuwa wameishambeba na kutoka naye nje ya hospitali. Kinyume cha hapo kwa kuonesha bastola na paspoti haidhibitishi nia ya kumtorosha. Vinginevyo jamaa wanaweza kusema walikuwa wameenda kumfanyia maombi mgonjwa.


Pili: Nashindwa kuelewa uharaka wa polisi kutoa taarifa kwa vyombo vya habari huku mambo mengine ambayo yalikuwa ni rahisi kabisa kupatiwa majibu kabla ya taarifa hiyo yakiiacha bila majibu. Hivi najiuliza: Inaichukua polisi masaa mangapi kujua iwapo bastora iliyokamatwa ilikuwa ikimilikiwa kihalali ama vinginevyo!!!? Kwa nini wameshindwa kufanya hivyo na wamekimbilia kutoa taarifa kwa umma!!!!?

Tuisadiane kutafakali hayo machache kwa sasa!

Mchezo mzima umechezwa na askari kanzu na wafuasi wa mtumishi wakaingia wazimawazima wakaleta kila kilichohitajika wamerekodiwa kwa siri kuanzia mwanzo wa mipango mpaka kukwamatwa muda ukifika utaona maajabu
 
Duuu totoo brst hapa umemkosea adabu kabisa Mamndenyi nafikiri hata hujui huyu ni nani hapa JF na hata hujui jinsia yake

mshana jr, nakataliana na wewe! Katika kutoa michango hapa jf haiangaliwi sura ya mtu au ukubwa wa jina lake au idadi ya posts alizokwishatoa au umri wake katika jf. Wala haziangaliwi post zake alizotoa kabla. Inaangaliwa post inayohusika, inayonukuliwa kwa muda huo maana ndiyo inayoonyesha taswira ya akili na mawazo ya mchangiaji kwa wakati huo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom