Begi la askofu mgonjwa

Begi la askofu mgonjwa

Mimi mchango wangu, siwezi kuchangia kama hao wengi walio tangulia, inaonekana wanafanya ushabiki Zaidi kuliko kutumia akili zao vizuri, najua ni akili ndogo lakini mlipaswa kujiongeza kidogo
Nani kati yenu asiejua ubabaishaji wa jeshi letu polisi ?

Mtu kama Gwajima na utajili alionao kuna ubaya gani kmiliki bastola, kwani mpaka tushangae hilo wanao toa kibali cha kumiliki bastola kuna mipaka kwa wachungaji ?

kumbe utajiri ni wa gwajima!. nilidhani ni wa kanisa. kumbe anakusanya mali kwa ajili yake na si kanisa!
 
attachment.php
 
Sidhani hapa kama mkewe aliweka mkono wake katika uandaaji wa nguo za mumewe!

This is a gangster life King Gwajima!
 
Pengo anakubali msimamo wa maaskofu, tatizo ni lile hitimisho la nenda kapige kura ya hapana! Anataka mtu aamue mwenyewe kama ndio au hapana!
 
Pengo anakubali msimamo wa maaskofu, tatizo ni lile hitimisho la nenda kapige kura ya hapana! Anataka mtu aamue mwenyewe kama ndio au hapana!

Wewe ndo umeelewa hasa maana kunawatu humu wanaongea bila ya kupima maneno yao.
 
Dogo huoni hiyo picha imepigwa baada ya polisi kupekua begi...inaonyesha wewe ni muhuni na jambazi na huo ndio mpangilio wa nguo katika bag lako

Jani la A town baya sana achana nalo ukilivuta watu wote unawaona wako chini yako na ya nini kutumia lugha za kukera?
 
Na yeye pia awe anatumia akili kuwaza na kufikili,hawezi kuongea jambo bila kuwaza,hata chizi kabla hajaongea ana waza japo ataongea pumba#Naiman64
 
Na yeye pia awe anatumia akili kuwaza na kufikili,hawezi kuongea jambo bila kuwaza,hata chizi kabla hajaongea ana waza japo ataongea pumba#Naiman64

Hapo nina maana heshima ichukue mkondo wake yule ni mkubwa kwako. usilete ya gwajima kwa askofu pengo si tabia yetu wa TZ vinginevyo uraia wako labda una mashaka
 
Wanatafuta na kuvinyofua vyanzo vyooote vya nguvu za chadema na UKAWA, mtoa habari wanae wa uhakika
 
Huyo ni sawa na Gwajima, matusi ndiyo chakula chao.

Hapo kwenye blue, umenikumbusha hawa 'waheshimiwa' fulani....
Kova 'alisahau' kwenda kuwapekua hawa..!!

Kibajaji
hqdefault.jpg



Serukamba (a.k.a mzee wa f*** you..!!)
peter-serukamba-april4-2013.jpg
 
Nilikuelewa ila wewe pia hujaelewa comment yangu,aliye kuambia yule ni mkubwa kwangu ni nani??je kama nimemzidi unajua??
 
Nilikuelewa ila wewe pia hujaelewa comment yangu,aliye kuambia yule ni mkubwa kwangu ni nani??je kama nimemzidi unajua??

Ni kwamba sizungumzii umri bali aina na personality ya mtu Mamndenyi si aina ya wale wenye kupenda maneno makali kashfa na matusi! Lugha zake mara nyingi ni za kistaarabu
 
Last edited by a moderator:
alisema bastola ni ya kujilinda sasa hiyo passport ya nn??
 
HAHAHAHAHA fimbo badala ya kumchapa Pengo imemrudia mwenyewe...
Me huwa Pengo namuaminia...Haongei hovyo ila akiongea kaongea point.......Utawawezaje washika waumini masikio wasifanye kitu fulani wakati kila mmoja ana uhuru wa kupigia kura anachopenda na kila mmoja anaakili timamu...Angalia sasa fimbo imemchapa mwenyewe....Akome kutukana tukana watu, wengine hawatukaniki...


gwajima.jpg
 
Huyo atakuwa jambazi tu,
Hata mpangilio wa begi ni wa kihuni kihuni tu.

hivi unawajua polisi au huwa unawasikia tu? wakija nyumbani kwako kufanya upekuzi watavuruga vitu vyako upside down mpaka utaviona kama dampo la vingunguti!

Thank God hakupandikiziwa kifuko cha cocaine kwenye begi lake maana hao jamaa mambo yao Mungu anajua!
 
Back
Top Bottom