Begi la askofu mgonjwa

Begi la askofu mgonjwa

Ulishawahi kufika nyumbani kwa polisi wetu ukaona maisha waayoishi na impangilio yao? Lugha rahisi, ulishawahi kuona polisi wakifanya search? Hilo bag unajua limepitia mikono mingapi hadi kupigwa hiyo picha? Kama mtu alikuwa hana fahamu, kwa hiyo hakuwa na hata watu wa kuweka bag lake wanaloliamini lina vitu vyake muhimu kama mavazi?

Unajua wakati polisi wanalichukua lilikuwa na hali gani na nini kimefanyika hadi wakati wa kupigwa hiyo picha? Aliondoka nalo nyumbani kwa utashi wake akiwa amezimia hadi mmtwishe lawama zote zile?

Hata matusi mnafanya kwa maslahi ya Pengo aliyewasaliti viongozi wenzake na kusaliti taifa, na baadaye akajitambua kwamba pinda kamwingiza mkenge? Au mnafanya kwa kusindikiza azma msiyoijua iliyonyuma ya heka heka hizi za kumtumia Pengo kama mbzi wa kafara? Mmewasiliana na Kiwete, Pinda, Membe, Kova, Makamba wakawaambia nguvu yote wanayoitumia kwa Gwajima ni kwa sababu wanampenda sana Pengo?

Fungueni macho mpate kuona.

Mungu anapendezwa na mizani ya haki, bali ndimi zenye kunena hila ni machukizo kwa Bwana.


Huyo atakuwa jambazi tu,
Hata mpangilio wa begi ni wa kihuni kihuni tu.
 
Haamini nguvu ya mungu mpaka anatembea na bastola

Kuna muda mwingine lazima utumie nguvu za mwili,hata kama nguvu za Mungu ziko,unadhani agano la kale walikuwanapigana kwa kuomba kama wakati wa agano jipya???
Ivyo ulinzi wa Mungu unatakaiwa na wakimwili pia lazima vyote viende pamoja
 
Matahayo 11:19

Mwana wa Adamu alikuja,akila na kunywa, wakasema,Mafi huyu na mlevi,rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.

Maandiko matakatifu yanapingana na mienendo ya huyu tapeli.

Hata Yesu mwenyewe walimwita Mlafi, Mlevi na rafiki wa wenye pochi,hayo maandiko unayosema yaweke hapa.

Amen
 
Huyo atakuwa jambazi tu,
Hata mpangilio wa begi ni wa kihuni kihuni tu.

Dogo huoni hiyo picha imepigwa baada ya polisi kupekua begi...inaonyesha wewe ni muhuni na jambazi na huo ndio mpangilio wa nguo katika bag lako
 
attachment.php
 
Mimi mchango wangu, siwezi kuchangia kama hao wengi walio tangulia, inaonekana wanafanya ushabiki Zaidi kuliko kutumia akili zao vizuri, najua ni akili ndogo lakini mlipaswa kujiongeza kidogo
Nani kati yenu asiejua ubabaishaji wa jeshi letu polisi ?

Mtu kama Gwajima na utajili alionao kuna ubaya gani kmiliki bastola, kwani mpaka tushangae hilo wanao toa kibali cha kumiliki bastola kuna mipaka kwa wachungaji ?
 
Dogo huoni hiyo picha imepigwa baada ya polisi kupekua begi...inaonyesha wewe ni muhuni na jambazi na huo ndio mpangilio wa nguo katika bag lako

Duuu totoo brst hapa umemkosea adabu kabisa Mamndenyi nafikiri hata hujui huyu ni nani hapa JF na hata hujui jinsia yake
 
Last edited by a moderator:
Nakushauri uliyerusha hizi picha anza kujisalimisha polisi , sidhani kama hiyo picha uriruhsiwa kupost humu
 
Nadhani huyu Gwajima ni tapeli la kimataifa na inawezekana ana biashara nyingine haramu anafanya kwa mgongo wa kanisa. Lazima kuna kitu polisi wamemshtukia ndio sababu wanajaribu kumhoji na lazima tu ukweli utajulikana.


Naomba nikukumbushe sababu ya kuhojiwa kwa Gwajima ni tuhuma za muislamu mmoja aliyedai kukwerwa na makemeo ya Gwajima kwa pengo...

Hayo masuala mengine yameibuka ghafla na wanatupa watanzania mashaka kama wako focused na kazi yao au la ama wana migongano mingine na mtumishi huyo wa Mungu ambayo wameshindwa kufunguka kwetu...
Ngoja tuone mwisho utakuwaje
 
ISAYA 54:17

Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa.
Huu ndiyo urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi,asema Bwama
17Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwasana machoni pa BWANA, kwa kuwawaliitendea dhabihu ya BWANA kwa dharau.
 
Back
Top Bottom