Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,661
- 6,909
Nakupenda endelea
Mkuu Elli,sio wanasiasa wa bongo tu,bali kila pembe ya dunia hawa watu wanafanya hivyo.Kuna kitengo kwenye NSA na CIA ambazo wana recruit wadada wa namna hiyo, "Economic Hitmen/Hitwomen". Wana akili sana na wanafundishwa kama alivyosema mkuu Sky Eclat.
Tafuta kitabu kinaitwa Confessions of an economic hitman cha John Perkins,utaona jinsi US na mataifa makubwa ya magharibi yanavyotumia mbinu hizi.
Hee hujaona hapo mkwanja mrefu wa mpaka £200,000? Au wewe umezoea jembe??Sasa tabu yote ya nini?Huwezi kutafuta maisha kwa njia nyingine mbadala?
Hayo ni mawazo yako mkuuSasa tabu yote ya nini?Huwezi kutafuta maisha kwa njia nyingine mbadala?
Yeah I have seen that movie actually is of the bestKuna movie moja inaitwa Naked weapon inafanana na hii story ila yeye katekwa then akaenda kufunzwa martial art
Naomba unielekeze niende namie nimependa kazi husika
Kwahiyo hapo shule inakuwa imekwisha?
Umependa kipengele gani hasa hasa!
Hee hujaona hapo mkwanja mrefu wa mpaka £200,000? Au wewe umezoea jembe??
Inaweza ikawa mbaya zaidi ya wanaume.My take, kusign mikataba waachiwe wanawake, hatushawishiki kirahisi.
Aiseeeh ! Buzwagi ilikuwa hivi hivi, yule Muhaya kapelekwa London akasaini tu kila karatasi mpaka autography daaah !Yah ni mbaya sana unakaa na wenzako kwenye meza kumbe wanajua mpaka boxer uliyovaa mwenyewe unajiona umeninga tie saafi, wakipress maswali unashangaa zile strong hold point zako zote wanafahamu unabaki yes yes yes.
Hapo waende jinsia zote mbili wakiwa na mamlaka sawa ya kufanya maamuzi. Kama kidume kitacheleweshwa basi mwanamke afanye maamuzi.My take, kusign mikataba waachiwe wanawake, hatushawishiki kirahisi.
Sasa kama Kuna vitabu tayali vimeandikwa, mtu akiona hali kama hiyo, si atastukia kuwa yupo na mtu wa namna ganiTraining ni ndefu, unafundishwa aina ya mivinyo, ujue majina ya champaign na vikolombwezo vingine, unaweza kufundishwa michezo kama horse riding, golf, tennis ect, ili ujue ku spend time na client tofauti, unafundishwa table manners. Kwakifupi client hatakiwi ajue kama amekaa na malaya wa kulipwa.
Sasa kama Kuna vitabu tayali vimeandikwa, mtu akiona hali kama hiyo, si atastukia kuwa yupo na mtu wa namna gani
Ubarikiwe sana,thanks
- Haya wakuu White party na dre4691 na wengineo,kitabu cha Confessions of an Economic Hitman HIKI HAPA.
Mkuu unetisha sana!!Kwa mwendo huu sasa ndiyo maana mikataba mingi ya kibongo unajiuliza hivi waliosaini walifikiria nini? Kumbe wanasaini wakiwa kwenye PAPUCHI