Beauty with brain wanavyopangwa

Beauty with brain wanavyopangwa

aisee hizi story nyingi naona kwa movies..kumbe kweli mkuu? basi hata Tz yaweza tumika hii natukanufaika na mali zetu! Naiman hawataweza kuwafungia maana hii si SANAA
 
Una uhakika hawa ma model wenu wanaweza kupambana? sio wapoteze pesa ya serikali bure.
Yan mkuu nachosema kina uhakika hapa Tz wapo vijana wazuri na wenye shape nzuri km kigezo no 1,pia wanajiweza kwa lugha mbali mbali wapoo wapooo..sema michongo km hii ndo bado haijastukiwa! ila naamini wapo sana tu! Tz kuna kila kitu! sema havitumiki ipasavyo
 
Yan mkuu nachosema kina uhakika hapa Tz wapo vijana wazuri na wenye shape nzuri km kigezo no 1,pia wanajiweza kwa lugha mbali mbali wapoo wapooo..sema michongo km hii ndo bado haijastukiwa! ila naamini wapo sana tu! Tz kuna kila kitu! sema havitumiki ipasavyo

Wajue kutunza siri, siyo kesho tunayasoma kwa Shigongo.
 
Una uhakika hawa ma model wenu wanaweza kupambana? sio wapoteze pesa ya serikali bure.
Umesema hivyo ghafla nimevuta Picha ya masogange ndo anamuhandle diplomat flani hivi ametua bongo kusaini mikaratasi!! kwanza kabisa nahisi atatoa simu appige selfie aweke instagram.. Warembo wetu bongo hapo kwenye 'beauty' wako vizuri, tatizo hicho kipengele cha 'brains'
 
Nimejifunza kitu hapa,asante.
Hii nimekuwa nikiona katika series/movies...
Kumbe haya ndiyo yaliyoko nyuma ya pazia?
Asante Sky Eclat.

Actually, kinachotokea kwenye movies au series ni tafsiri ya kilichotokea au kitakakachotokea au kinachoendelea kutokea.

Ukiwa unaziangalia, angalia kwa jicho la tatu.
 
Kweli pesa noma watu wanafikiri sana juu ya kumuibia mtu akishangaaa kidogo anapigwa noma sana hapa wabongo tumelizwa mno kwa staili hii
 
Kweli pesa noma watu wanafikiri sana juu ya kumuibia mtu akishangaaa kidogo anapigwa noma sana hapa wabongo tumelizwa mno kwa staili hii

Sasa unampeleka mtu kama let say Kasheku na dili la dhahabu Uingereza jamani akurudi tumelizwa yeye anarudi na smile

Kasheku sina dhamira ya kukudhalilisha lakini wewe ni mmoja wa wabunge wetu nimetoa mfano tu.
 
Kuna kitu kinaitwa "Economic Espionage", taasisi za wenzetu za ujasusi wanaaitumia sana hii kitu,hapa Mh. ZZK nakumbuka aliwahi kuiongelea kwamba vijana wetu wa "kampuni" wafundishwe na kuifanya inavyostahili. Ina manufaa makubwa sana kwa nchi zetu ambazo mabeberu wanakuja kutunyonya kwa jina la wawekezaji,wahisani na washirika wa maendeleo.
 
Kuna kitu kinaitwa "Economic Espionage", taasisi za wenzetu za ujasusi wanaaitumia sana hii kitu,hapa Mh. ZZK nakumbuka aliwahi kuiongelea kwamba vijana wetu wa "kampuni" wafundishwe na kuifanya inavyostahili. Ina manufaa makubwa sana kwa nchi zetu ambazo mabeberu wanakuja kutunyonya kwa jina la wawekezaji,wahisani na washirika wa maendeleo.

Yah ni mbaya sana unakaa na wenzako kwenye meza kumbe wanajua mpaka boxer uliyovaa mwenyewe unajiona umeninga tie saafi, wakipress maswali unashangaa zile strong hold point zako zote wanafahamu unabaki yes yes yes.
 
Mara nyingi hawa wanakuwa wanafunzi and they are doing these for funny. Hawa ndio wale mnaowaoa mkijisifu vifua mbele kuwa umeoa a decent girl.
Kwahiyo hapo shule inakuwa imekwisha?
 
Yan mkuu nachosema kina uhakika hapa Tz wapo vijana wazuri na wenye shape nzuri km kigezo no 1,pia wanajiweza kwa lugha mbali mbali wapoo wapooo..sema michongo km hii ndo bado haijastukiwa! ila naamini wapo sana tu! Tz kuna kila kitu! sema havitumiki ipasavyo
Serikali ndio inatakiwa kuchangamka na kuwaandaa vijana kama serikali uingereza inavyofanya.
 
Yah ni mbaya sana unakaa na wenzako kwenye meza kumbe wanajua mpaka boxer uliyovaa mwenyewe unajiona umeninga tie saafi, wakipress maswali unashangaa zile strong hold point zako zote wanafahamu unabaki yes yes yes.
Inabidi watia saini katika mikataba wapelekwe wakiambatana na wake/waume zao ili kuepuka vishawishi. Sijui kama utawala wa sasa utakubali, huyo afisa pekee ni nongwa, tunaokoa TZS milioni 10 kwa gharama ya mabilioni.
 
Back
Top Bottom