Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,601
Luanda Angola ni mji ghali kuishi kwa sababu ya biashara za mafuta, si kwa sababu ya kuwa na kitu chochote chenye tofauti sana kwenye starehe.Uzuri unachogaramia ndio unapata na uwe umeenda kufanya starehe zako coz American walio na ela za kuchezea wamejaa kule wanakula maisha wanaondoka.
Kuna kitu gani cha starehe ambacho kipo Luanda tu hakipo sehemu nyingine yoyote duniani?