Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Luanda Angola ni mji ghali kuishi kwa sababu ya biashara za mafuta, si kwa sababu ya kuwa na kitu chochote chenye tofauti sana kwenye starehe.Uzuri unachogaramia ndio unapata na uwe umeenda kufanya starehe zako coz American walio na ela za kuchezea wamejaa kule wanakula maisha wanaondoka.
Kuna kitu gani cha starehe ambacho kipo Luanda tu hakipo sehemu nyingine yoyote duniani?

ndugu sina link ila nina picha zangu binafsi za kule siwez kuzipost hapa nilichojionea kule nilikipenda,kila mahala kuna ladha yake so zunguka dunia hii hata cha Kampala hakifanani na cha Dsm.