theki
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,721
- 587
Upande upi sasa kwa Dar unaelekeza kama mmasai.Huko Boza kama unaelekea Bagamoyo au kigamboni?Mwelekeze vzr wengine pia tupajue.Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.
Its around 65KM from Dar.
Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.