The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.
Its around 65KM from Dar.
Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.
Kimbiji?