Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

Kijiji beach imeungua muda mrefu hivyo hakuna huduma,
Mkuu nenda beach ya sunrise, changani, amani beach, funcity na bakhresa beach, gold island beach, zote zipo kigamboni na ni nzuri zenye hadhi na usalama pia Uhuru upo.....
Ukija south beach itakuwa poa nitakufanyia mpango kuna watu wanafanyakazi humo nina wajua,
Hizo beach hazina pesa kubwa ni tshs: 10,000/= mpaka 15,000/= kwa mtu mmoja kiingilio na kuogelea bure na michezo mingine ya maji...
Ila chakula na michezo mingine kama magari n.k unalipia......

Ur welcome boss.........
Masikini Francina alikuwa mke wa owner wa kijiji beach. ..RIP
 
Masikini Francina alikuwa mke wa owner wa kijiji beach. ..RIP

Ameshafariki
Innanillah wa innanillah raajun

Mkuu..
Kijiji beach ilikuwa ni beach inayoongoza kwa uzuri na ubora kigamboni nzima ila imeungua kwa bahati mbaya mwakani wataanza kuirekebisha upya.

 

Ameshafariki
Innanillah wa innanillah raajun

Mkuu..
Kijiji beach ilikuwa ni beach inayoongoza kwa uzuri na ubora kigamboni nzima ila imeungua kwa bahati mbaya mwakani wataanza kuirekebisha upya.

Alifariki yule mama wa kihaya. ..
 
Dah! samahani, niliweka kwa nia njema kabisa lakini kuna mtu kanambia umefanya kosa. Siwaambii iko wapi kwa sababu za kulinda mazingira.
Post ya zamani sana asee ila ulipotaja BOZA umenikumbusha mbali kwakweli Sangatini,Shungubweni,Funza,Jangwani unaingia BOZA MCHANGA LAINI hahaha ukizidi tokomea zaidi kisiwa flani unaingia huko.
 
Dah! samahani, niliweka kwa nia njema kabisa lakini kuna mtu kanambia umefanya kosa. Siwaambii iko wapi kwa sababu za kulinda mazingira.
Post ya zamani sana asee ila ulipotaja BOZA umenikumbusha mbali kwakweli Sangatini,Shungubweni,Funza,Jangwani unaingia BOZA MCHANGA LAINI hahaha ukizidi tokomea zaidi kisiwa flani unaingia huko.
 
Back
Top Bottom