Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

Wadau wa JF wakazi wa Dar

Nisaidien jaman, nataka kujua beach gan kwa dar n nzuri kuliko zote, toka nizaliwe nimekua sina interest na kwenda Beach, so nimejikia kutaman sana bahada ya mke wangu kuniomba cku nying kwenda nae beach, nataka nmfanyie suprice J2, nishaurin niende beach gan ili tukahave much fun,

Thanks in advance

ukitumia kiswahili, kuna tatizo kwani??
 
Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.

Its around 65KM from Dar.

Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.

kumbe wewe watoka huko? unamjuwa mwalimu singano weye? umenikumbusha kuwatembelea washkaji zangu wa kimanga pangani na kina clement bazo.
 
Wadau wa JF wakazi wa Dar

Nisaidien jaman, nataka kujua beach gan kwa dar n nzuri kuliko zote, toka nizaliwe nimekua sina interest na kwenda Beach, so nimejikia kutaman sana bahada ya mke wangu kuniomba cku nying kwenda nae beach, nataka nmfanyie suprice J2, nishaurin niende beach gan ili tukahave much fun,

Thanks in advance

unajua kuogelea lkn..? au utaniachia shem niogelee nae 'joke' nenda coco bro utaenjoy
 
kumbe wewe watoka huko? unamjuwa mwalimu singano weye? umenikumbusha kuwatembelea washkaji zangu wa kimanga pangani na kina clement bazo.

Ewe punguani, Pangani ni 65KM kutoka Dar.? Soma vizuri kabla hujakurupuka.

Hii mijitu mingine sijui ikoje! halafu atakwambia anaishi Dar., hata Boza Beach, haijui, huko wakuja hawapajui. Kumbuka hilo.
 
Ewe punguani, Pangani ni 65KM kutoka Dar.? Soma vizuri kabla hujakurupuka.

Hii mijitu mingine sijui ikoje! halafu atakwambia anaishi Dar., hata Boza Beach, haijui, huko wakuja hawapajui. Kumbuka hilo.

ewe kibibi kizee boza beach iko wapi? au ni kama Beach kidimbwi ya Sinza?
 
Kama unataka to have fun, all alone with your wife, njoo beach iliyo karibu na kijijini kwetu, inaitwa Boza Beach, hakuna hoteli hapo, hakuna watu kupita pita hovyo, hakuna majumba karibu, its safe, quite and secluded for now. Carry your picnic gear. Uta enjoy sana.

Its around 65KM from Dar.

Ni moja katika beach nzuri sana Tanzania.

Km 65? Si siku nzima kusafiri?
 
Nenda bongoyo island boti unapandia slpway.utaenjoy inawhitesand ya ukwel n then wanaokwenda huko hakuna mbabaishaji na sehem tulivu kwa utalii wa ndani

Nilikuwa nataka pia
nimwambie I like the place
Ukishindwa bongoyo nenda KIJIJI BEACH kigamboni u will never regret achana na mabeach ya kihindi
 
Back
Top Bottom