Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,564
- 3,472
Documentary iliyoachiliwa na Shirika la habari Duniani (BBC) ikionesha mashahidi wanaoonesha maovu dhidi ya Mtumishi wa Mungu mwendazake T.B Joshua ni ishara tosha kuwa nguvu ya Imani na ukuaji wa kiroho Afrika ni tishio Kwa kikundi fulani cha watu kutekeleza ajenda zao.
Ukweli ni kwamba Afrika imefikia kiwango cha ukuaji wa kiroho ambacho haiwezi kurudi nyuma "point of no return". Imani juu ya Mungu katika bara hili ni hatari sana wa watu walioamua kugeyza mahekalu kuwa kumbi za starehe.
Watumishi wa Mungu Afrika wanaonekana kama kikwazo kikubwa sana na wacheleweshaji wa matukio makubwa mabaya yanayopangwa kutokea kwa jamii ya wanadamu wakaazi wa Dunia.
Kinachowaumiza zaidi ni uhalisia kupindika katika namna ambayo upepo wa imani juu ya Mungu unaonekana kutoka Afrika kuelekea Ulaya, ni kama historia imejigeuza na iliyoitwa kuwa nyeusi wakati ni nyeupe inajionesha uhalisia wake.
Ukweli ni kwamba Afrika imefikia kiwango cha ukuaji wa kiroho ambacho haiwezi kurudi nyuma "point of no return". Imani juu ya Mungu katika bara hili ni hatari sana wa watu walioamua kugeyza mahekalu kuwa kumbi za starehe.
Watumishi wa Mungu Afrika wanaonekana kama kikwazo kikubwa sana na wacheleweshaji wa matukio makubwa mabaya yanayopangwa kutokea kwa jamii ya wanadamu wakaazi wa Dunia.
Kinachowaumiza zaidi ni uhalisia kupindika katika namna ambayo upepo wa imani juu ya Mungu unaonekana kutoka Afrika kuelekea Ulaya, ni kama historia imejigeuza na iliyoitwa kuwa nyeusi wakati ni nyeupe inajionesha uhalisia wake.