Myth of the cave ya Plato na mafunuo ya BBC kwa marehemu T.B. Joshua

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,916
Inajulikana pia kama Allegory of the cave katika mojawapo ya maandiko bora kabisa ya Plato kwenye chapisho la The republic

Akitumia lugha picha anaonesha Wafingwa wameketi pangoni huku wakiwa wamefungwa minyororo kwa nyuma kwenye nguzo, mlango ukiwa nyuma ya migongo yao na mbele yao ni kuta tupu za pango. Vivuli vya vitu vinavyopita nje vinavyoakisiwa na mwanga wa miali ya moto kwenye ukuta wa ndani wa pango ndio kitu wakionacho mbele yao. Kwa vile wafungwa hawajawahi kutoka nje ya pango tangu kuzaliwa, wanaamini vivuli hivyo ni vitu halisi

Sasa anatokea mtu anawafungua na kujaribu kuwaonesha kwamba kile walichozoeshwa kuoneshwa sio halisi bali ni vivuli tu, wao wanbisha kabisa na kumuona yule mtu ni muongo mkubwa...

Fumbo la Plato la Pango linaonyesha jinsi wahusika wanavyoweza kujikomboa kutoka katika giza la kiakili kupitia kuelimika na ushujaa wa kujaribu mawazo mapya.

BBC wamejaribu kuonesha uhalisia wa kilichokuwa nyuma ya nabii maarufu T.B . Joshua..japo kwa kuchelewa sana.. Nilitegemea tuwapongeze kwa manufuo hayo.. Fumbo la Plato kwenye pango
Kwa mshangao mkubwa BBC wamepata upinzani mkubwa kwenye hili hasa kutoka mataifa ya kiafrika

Kuna baadhi ya watu weusi wamefikia hatua ya kukufuru na kusema eti hili ni shambulio dhidi ya ukristo.. Haya ni matokeo ya kuabudu vivuli kuliko uhalisia..
Nitarejea


Katika fumbo "Pango", Plato anaelezea kundi la watu ambao wameishi kwa minyororo kwenye ukuta wa pango maisha yao yote, wakikabiliana na ukuta tupu. Watu hutazama vivuli vilivyoonyeshwa kwenye ukuta kutoka kwa vitu vinavyopita mbele ya moto nyuma yao na kutoa majina kwa vivuli hivi. Vivuli ni ukweli wa wafungwa, lakini sio uwakilishi sahihi wa ulimwengu wa kweli. Vivuli vinawakilisha kipande cha ukweli ambacho tunaweza kutambua kwa kawaida kupitia hisia zetu, wakati vitu vilivyo chini ya jua vinawakilisha aina za kweli za vitu ambavyo tunaweza tu kutambua kupitia akili. Kuna viwango vitatu vya juu: sayansi ya asili; hisabati, jiometri, na mantiki deductive; na nadharia ya maumbo.

Socrates anaeleza jinsi mwanafalsafa huyo alivyo kama mfungwa aliyeachiliwa kutoka pangoni na anakuja kuelewa kwamba vivuli vilivyo ukutani kwa kweli si chanzo cha moja kwa moja cha picha zinazoonekana. Mwanafalsafa analenga kuelewa na kutambua viwango vya juu vya ukweli. Hata hivyo, wafungwa wengine wa pango hilo hata hawataki kutoka katika gereza lao, kwa kuwa hawafahamu maisha bora zaidi.[1]

Socrates anaeleza kwamba istiari hii inaweza kuunganishwa na maandishi ya awali, yaani mlinganisho wa jua na mlinganisho wa mstari uliogawanyika.

Lakini zaidi imani za watu, imani hizi za kukopea toka ugenini.. Na watu bila ufahamu kamili wakafungwa kwenye nira za ufahamu wa kiimani na kuna kile wanachojaribu kufunuliwa ni upotoshaji mkubwa na mashambulizi dhidi ya imani wanajiamini
Kwa mtazamo wangu BBC wako sahihi sana.. Labda maswali ya kujiuliza ni haya..

Walikuwa wapi siku zote?
Kwanini walisubiri mpaka T.B.Joshua akafa?
Kwanini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2869979
 
Inajulikana pia kama Allegory of the cave katika mojawapo ya maandiko bora kabisa ya Plato kwenye chapisho la The republic

Akitumia lugha picha anaonesha Wafingwa wameketi pangoni huku wakiwa wamefungwa minyororo kwa nyuma kwenye nguzo, mlango ukiwa nyuma ya migongo yao na mbele yao ni kuta tupu za pango. Vivuli vya vitu vinavyopita nje vinavyoakisiwa na mwanga wa miali ya moto kwenye ukuta wa ndani wa pango ndio kitu wakionacho mbele yao. Kwa vile wafungwa hawajawahi kutoka nje ya pango tangu kuzaliwa, wanaamini vivuli hivyo ni vitu halisi

Sasa anatokea mtu anawafungua na kujaribu kuwaonesha kwamba kile walichozoeshwa kuoneshwa sio halisi bali ni vivuli tu, wao wanbisha kabisa na kumuona yule mtu ni muongo mkubwa...

Fumbo la Plato la Pango linaonyesha jinsi wahusika wanavyoweza kujikomboa kutoka katika giza la kiakili kupitia kuelimika na ushujaa wa kujaribu mawazo mapya.

BBC wamejaribu kuonesha uhalisia wa kilichokuwa nyuma ya nabii maarufu T.B . Joshua..japo kwa kuchelewa sana.. Nilitegemea tuwapongeze kwa manufuo hayo.. Fumbo la Plato kwenye pango
Kwa mshangao mkubwa BBC wamepata upinzani mkubwa kwenye hili hasa kutoka mataifa ya kiafrika

Kuna baadhi ya watu weusi wamefikia hatua ya kukufuru na kusema eti hili ni shambulio dhidi ya ukristo.. Haya ni matokeo ya kuabudu vivuli kuliko uhalisia..
Nitarejea


Katika fumbo "Pango", Plato anaelezea kundi la watu ambao wameishi kwa minyororo kwenye ukuta wa pango maisha yao yote, wakikabiliana na ukuta tupu. Watu hutazama vivuli vilivyoonyeshwa kwenye ukuta kutoka kwa vitu vinavyopita mbele ya moto nyuma yao na kutoa majina kwa vivuli hivi. Vivuli ni ukweli wa wafungwa, lakini sio uwakilishi sahihi wa ulimwengu wa kweli. Vivuli vinawakilisha kipande cha ukweli ambacho tunaweza kutambua kwa kawaida kupitia hisia zetu, wakati vitu vilivyo chini ya jua vinawakilisha aina za kweli za vitu ambavyo tunaweza tu kutambua kupitia akili. Kuna viwango vitatu vya juu: sayansi ya asili; hisabati, jiometri, na mantiki deductive; na nadharia ya maumbo.

Socrates anaeleza jinsi mwanafalsafa huyo alivyo kama mfungwa aliyeachiliwa kutoka pangoni na anakuja kuelewa kwamba vivuli vilivyo ukutani kwa kweli si chanzo cha moja kwa moja cha picha zinazoonekana. Mwanafalsafa analenga kuelewa na kutambua viwango vya juu vya ukweli. Hata hivyo, wafungwa wengine wa pango hilo hata hawataki kutoka katika gereza lao, kwa kuwa hawafahamu maisha bora zaidi.[1]

Socrates anaeleza kwamba istiari hii inaweza kuunganishwa na maandishi ya awali, yaani mlinganisho wa jua na mlinganisho wa mstari uliogawanyika.

Lakini zaidi imani za watu, imani hizi za kukopea toka ugenini.. Na watu bila ufahamu kamili wakafungwa kwenye nira za ufahamu wa kiimani na kuna kile wanachojaribu kufunuliwa ni upotoshaji mkubwa na mashambulizi dhidi ya imani wanajiamini
Kwa mtazamo wangu BBC wako sahihi sana.. Labda maswali ya kujiuliza ni haya..

Walikuwa wapi siku zote?
Kwanini walisubiri mpaka T.B.Joshua akafa?
Kwanini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2869979
Screenshot_20240112-192420_One Read.jpg
 
Sema ni ngumu sana kwa mkristo kuamini ile documentary, atatoa visingizio vingi mno.

Hoja yao wanayoipenda ni kwamba BBC ni illuminati, sijui inahusiana na 666, mara king charles ni illuminati
mkuu sema baadhi ya wakristo sio sote tuliopinga taarifa ya BBC

Waliopinga nahisi ni wale wanaoabudu bila kujua wanachoabudu
 
Inajulikana pia kama Allegory of the cave katika mojawapo ya maandiko bora kabisa ya Plato kwenye chapisho la The republic

Akitumia lugha picha anaonesha Wafingwa wameketi pangoni huku wakiwa wamefungwa minyororo kwa nyuma kwenye nguzo, mlango ukiwa nyuma ya migongo yao na mbele yao ni kuta tupu za pango. Vivuli vya vitu vinavyopita nje vinavyoakisiwa na mwanga wa miali ya moto kwenye ukuta wa ndani wa pango ndio kitu wakionacho mbele yao. Kwa vile wafungwa hawajawahi kutoka nje ya pango tangu kuzaliwa, wanaamini vivuli hivyo ni vitu halisi

Sasa anatokea mtu anawafungua na kujaribu kuwaonesha kwamba kile walichozoeshwa kuoneshwa sio halisi bali ni vivuli tu, wao wanbisha kabisa na kumuona yule mtu ni muongo mkubwa...

Fumbo la Plato la Pango linaonyesha jinsi wahusika wanavyoweza kujikomboa kutoka katika giza la kiakili kupitia kuelimika na ushujaa wa kujaribu mawazo mapya.

BBC wamejaribu kuonesha uhalisia wa kilichokuwa nyuma ya nabii maarufu T.B . Joshua..japo kwa kuchelewa sana.. Nilitegemea tuwapongeze kwa manufuo hayo.. Fumbo la Plato kwenye pango
Kwa mshangao mkubwa BBC wamepata upinzani mkubwa kwenye hili hasa kutoka mataifa ya kiafrika

Kuna baadhi ya watu weusi wamefikia hatua ya kukufuru na kusema eti hili ni shambulio dhidi ya ukristo.. Haya ni matokeo ya kuabudu vivuli kuliko uhalisia..
Nitarejea


Katika fumbo "Pango", Plato anaelezea kundi la watu ambao wameishi kwa minyororo kwenye ukuta wa pango maisha yao yote, wakikabiliana na ukuta tupu. Watu hutazama vivuli vilivyoonyeshwa kwenye ukuta kutoka kwa vitu vinavyopita mbele ya moto nyuma yao na kutoa majina kwa vivuli hivi. Vivuli ni ukweli wa wafungwa, lakini sio uwakilishi sahihi wa ulimwengu wa kweli. Vivuli vinawakilisha kipande cha ukweli ambacho tunaweza kutambua kwa kawaida kupitia hisia zetu, wakati vitu vilivyo chini ya jua vinawakilisha aina za kweli za vitu ambavyo tunaweza tu kutambua kupitia akili. Kuna viwango vitatu vya juu: sayansi ya asili; hisabati, jiometri, na mantiki deductive; na nadharia ya maumbo.

Socrates anaeleza jinsi mwanafalsafa huyo alivyo kama mfungwa aliyeachiliwa kutoka pangoni na anakuja kuelewa kwamba vivuli vilivyo ukutani kwa kweli si chanzo cha moja kwa moja cha picha zinazoonekana. Mwanafalsafa analenga kuelewa na kutambua viwango vya juu vya ukweli. Hata hivyo, wafungwa wengine wa pango hilo hata hawataki kutoka katika gereza lao, kwa kuwa hawafahamu maisha bora zaidi.[1]

Socrates anaeleza kwamba istiari hii inaweza kuunganishwa na maandishi ya awali, yaani mlinganisho wa jua na mlinganisho wa mstari uliogawanyika.

Lakini zaidi imani za watu, imani hizi za kukopea toka ugenini.. Na watu bila ufahamu kamili wakafungwa kwenye nira za ufahamu wa kiimani na kuna kile wanachojaribu kufunuliwa ni upotoshaji mkubwa na mashambulizi dhidi ya imani wanajiamini
Kwa mtazamo wangu BBC wako sahihi sana.. Labda maswali ya kujiuliza ni haya..

Walikuwa wapi siku zote?
Kwanini walisubiri mpaka T.B.Joshua akafa?
Kwanini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2869979
Kwa nini sasa? Joshua alipokuwa hai alijijengea ngome ya ulinzi na upinzani mkali mno dhidi ya yeyote anayetaka kupata taarifa za ndani. Alipokufa wengi waliondoka au kufukuzwa na wengi walifumbuliwa macho na kujua walichokuwa wanaabudu au kuamini ni vivuli tu.

Aidha, alipokuwa hai wengi walijawa hofu na vitisho na kukosa uhuru wa kutoka kifungoni au kusema ukweli.

Hata mtoto wake wa kike Ajoke alifukuzwa katika familia na katika himaya yake pale alipothubutu kumkabili baba'ke!

Inasikitisha na kutisha mno!

Ushauri: tuache kuwaabudu au kuwa wafuasi wa wanadamu wenzetu hata kama wakiwa na miujiza mikubwa, majina makubwa ya kidini au ufuasi mkubwa. Tuwe wafuasi wa Yesu Kristo aliyetukomboa na kutununua kwa damu yake ya thamani. Yeye pekee ndiye Mchungaji Mwema na wa kweli.
 
Kwa nini sasa? Joshua alipokuwa hai alijijengea ngome ya ulinzi na upinzani mkali mno dhidi ya yeyote anayetaka kupata taarifa za ndani. Alipokufa wengi waliondoka au kufukuzwa na wengi walifumbuliwa macho na kujua walichokuwa wanaabudu au kuamini ni vivuli tu.

Aidha, alipokuwa hai wengi walijawa hofu na vitisho na kukosa uhuru wa kutoka kifungoni au kusema ukweli.

Hata mtoto wake wa kike Ajoke alifukuzwa katika familia na katika himaya yake pale alipothubutu kumkabili baba'ke!

Inasikitisha na kutisha mno!

Ushauri: tuache kuwaabudu au kuwa wafuasi wa wanadamu wenzetu hata kama wakiwa na miujiza mikubwa, majina makubwa ya kidini au ufuasi mkubwa. Tuwe wafuasi wa Yesu Kristo aliyetukomboa na kutununua kwa damu yake ya thamani. Yeye pekee ndiye Mchungaji Mwema na wa kweli.
Asante sana brother na heri ya nwaka mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inajulikana pia kama Allegory of the cave katika mojawapo ya maandiko bora kabisa ya Plato kwenye chapisho la The republic

Akitumia lugha picha anaonesha Wafingwa wameketi pangoni huku wakiwa wamefungwa minyororo kwa nyuma kwenye nguzo, mlango ukiwa nyuma ya migongo yao na mbele yao ni kuta tupu za pango. Vivuli vya vitu vinavyopita nje vinavyoakisiwa na mwanga wa miali ya moto kwenye ukuta wa ndani wa pango ndio kitu wakionacho mbele yao. Kwa vile wafungwa hawajawahi kutoka nje ya pango tangu kuzaliwa, wanaamini vivuli hivyo ni vitu halisi

Sasa anatokea mtu anawafungua na kujaribu kuwaonesha kwamba kile walichozoeshwa kuoneshwa sio halisi bali ni vivuli tu, wao wanbisha kabisa na kumuona yule mtu ni muongo mkubwa...

Fumbo la Plato la Pango linaonyesha jinsi wahusika wanavyoweza kujikomboa kutoka katika giza la kiakili kupitia kuelimika na ushujaa wa kujaribu mawazo mapya.

BBC wamejaribu kuonesha uhalisia wa kilichokuwa nyuma ya nabii maarufu T.B . Joshua..japo kwa kuchelewa sana.. Nilitegemea tuwapongeze kwa manufuo hayo.. Fumbo la Plato kwenye pango
Kwa mshangao mkubwa BBC wamepata upinzani mkubwa kwenye hili hasa kutoka mataifa ya kiafrika

Kuna baadhi ya watu weusi wamefikia hatua ya kukufuru na kusema eti hili ni shambulio dhidi ya ukristo.. Haya ni matokeo ya kuabudu vivuli kuliko uhalisia..
Nitarejea


Katika fumbo "Pango", Plato anaelezea kundi la watu ambao wameishi kwa minyororo kwenye ukuta wa pango maisha yao yote, wakikabiliana na ukuta tupu. Watu hutazama vivuli vilivyoonyeshwa kwenye ukuta kutoka kwa vitu vinavyopita mbele ya moto nyuma yao na kutoa majina kwa vivuli hivi. Vivuli ni ukweli wa wafungwa, lakini sio uwakilishi sahihi wa ulimwengu wa kweli. Vivuli vinawakilisha kipande cha ukweli ambacho tunaweza kutambua kwa kawaida kupitia hisia zetu, wakati vitu vilivyo chini ya jua vinawakilisha aina za kweli za vitu ambavyo tunaweza tu kutambua kupitia akili. Kuna viwango vitatu vya juu: sayansi ya asili; hisabati, jiometri, na mantiki deductive; na nadharia ya maumbo.

Socrates anaeleza jinsi mwanafalsafa huyo alivyo kama mfungwa aliyeachiliwa kutoka pangoni na anakuja kuelewa kwamba vivuli vilivyo ukutani kwa kweli si chanzo cha moja kwa moja cha picha zinazoonekana. Mwanafalsafa analenga kuelewa na kutambua viwango vya juu vya ukweli. Hata hivyo, wafungwa wengine wa pango hilo hata hawataki kutoka katika gereza lao, kwa kuwa hawafahamu maisha bora zaidi.[1]

Socrates anaeleza kwamba istiari hii inaweza kuunganishwa na maandishi ya awali, yaani mlinganisho wa jua na mlinganisho wa mstari uliogawanyika.

Lakini zaidi imani za watu, imani hizi za kukopea toka ugenini.. Na watu bila ufahamu kamili wakafungwa kwenye nira za ufahamu wa kiimani na kuna kile wanachojaribu kufunuliwa ni upotoshaji mkubwa na mashambulizi dhidi ya imani wanajiamini
Kwa mtazamo wangu BBC wako sahihi sana.. Labda maswali ya kujiuliza ni haya..

Walikuwa wapi siku zote?
Kwanini walisubiri mpaka T.B.Joshua akafa?
Kwanini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2869979
Walikia wapi sikuzote!!?

Jibu :-walikuwepo na walijua lakini kwakua gereza hilo ni kubwa limewafunga Hadi maboss wao,hivyo wangeleta mtikisiko was kibiashara na mwandishi was makala angeshtakiwa Kwa kosa la kumchafua masihi was Dunia Kwa kipindi kile!

Kwanini walisubiri Hadi afe;-walimuogopa kushindwa vita hiyo ya mnyukano kwasababu wapenzi was huyo jamaa ni wengi na kampuni ya BBC ingeshuka kimapato!

Nyongeza,

BBC inazimisha uvumi wa papa kuruhusu ndoa za mashoga ili watu wapate kingine Cha kujadili hasa huku Africa ambapo ndio mateka wa kiimani hasa ukristo na uislam!wanafichia aibu kanisa katoliki na mashambulizi kuelekea kwao coz was katoliki ndio wadau wa kubwa was uchumi was Dunia hasa mataifa haya makubwa kama england , America n.k!kuuchafua ukatoliki ni kuichafua Dunia ya mataifa makubwa kiuchumi!!

Nadhani
 
Walikia wapi sikuzote!!?

Jibu :-walikuwepo na walijua lakini kwakua gereza hilo ni kubwa limewafunga Hadi maboss wao,hivyo wangeleta mtikisiko was kibiashara na mwandishi was makala angeshtakiwa Kwa kosa la kumchafua masihi was Dunia Kwa kipindi kile!

Kwanini walisubiri Hadi afe;-walimuogopa kushindwa vita hiyo ya mnyukano kwasababu wapenzi was huyo jamaa ni wengi na kampuni ya BBC ingeshuka kimapato!

Nyongeza,

BBC inazimisha uvumi wa papa kuruhusu ndoa za mashoga ili watu wapate kingine Cha kujadili hasa huku Africa ambapo ndio mateka wa kiimani hasa ukristo na uislam!wanafichia aibu kanisa katoliki na mashambulizi kuelekea kwao coz was katoliki ndio wadau wa kubwa was uchumi was Dunia hasa mataifa haya makubwa kama england , America n.k!kuuchafua ukatoliki ni kuichafua Dunia ya mataifa makubwa kiuchumi!!

Nadhani
Kampuni ya televisheni ya Afrika Kusini ya Multichoice Africa imetangaza kuwa itasitisha matangazo ya Emmanuel TV, kituo cha kidini inayomilikiwa na marehemu Nabii Temitope Babatunde Joshua, mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations, kuanzia Januari 17, 2024.
Uamuzi huo unafuatia filamu yenye utata iliyorushwa na BBC ikielezea madai ya ukatili na uhalifu wa kingono uliofanywa na T.B. Yoshua

Tuhuma za BBC kwa TB Joshua zimetokana na utafiti wao waliofanya kwa miaka miwili. Kuhusu uongo na ukweli wanajua BBC.
Ila kama kuna mtanzania anayekerwa na kuhangaishwa, anayetukana BBC na kumtetea kwa nguvu TB Joshua bila utafiti wowote, kwa sabb za kiimani, ana tatizo kubwa.
20240113_130133.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikia wapi sikuzote!!?

Jibu :-walikuwepo na walijua lakini kwakua gereza hilo ni kubwa limewafunga Hadi maboss wao,hivyo wangeleta mtikisiko was kibiashara na mwandishi was makala angeshtakiwa Kwa kosa la kumchafua masihi was Dunia Kwa kipindi kile!

Kwanini walisubiri Hadi afe;-walimuogopa kushindwa vita hiyo ya mnyukano kwasababu wapenzi was huyo jamaa ni wengi na kampuni ya BBC ingeshuka kimapato!

Nyongeza,

BBC inazimisha uvumi wa papa kuruhusu ndoa za mashoga ili watu wapate kingine Cha kujadili hasa huku Africa ambapo ndio mateka wa kiimani hasa ukristo na uislam!wanafichia aibu kanisa katoliki na mashambulizi kuelekea kwao coz was katoliki ndio wadau wa kubwa was uchumi was Dunia hasa mataifa haya makubwa kama england , America n.k!kuuchafua ukatoliki ni kuichafua Dunia ya mataifa makubwa kiuchumi!!

Nadhani
Mkuu umeeleza siri ya mahesabu makali ya wakubwa!
 
Back
Top Bottom