OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Sijajua jinsi ya kutuma picha hapa lakin ningewatumia maana niko hapa mgodini
Ukifanikiwa kuweka picha ntashukuru kuona na wako wa kumzaa akiwa na wewe hapo hata kama haingii shimoni!!!!
Sijajua jinsi ya kutuma picha hapa lakin ningewatumia maana niko hapa mgodini
Sikiliza mtu akitaka kukuchafua atakuchafua tu, mm niko hapa merelani kwa zaidi ya miaka 12 kwa maisha ya hapa kuna mji na wakazi wanafamily zao kutoka kwenye mji mpka hapa migodini kuna km 4 na kipindi hiki shule zimefungwa, kwa hy kununua watoto na kuwavalisha nguo chafu na kuwahoji sio kazi isitoshe watoto wa hapa merelani wanapenda pesa vibaya sana,.na kingine nataka niwaambie msicho kijua hakuanaga mtoto aliezaliwa hapa merelani anazama migodini,. Ule msemounaosema kwenye miti hakuna wajenzi unakamilika hapa, kama kuna mtu anaweza kufanya uchunguzi au kutembelea aje atajionea mwenyewe. Na hata ktk 2005 kushuka chin watoto waliokuwepo hapa ni kutoka mikoa mingine na sio manyara wala arusha watoto wa hapa hawataki kazi hii hata watu wazima walio zaliwa hapa hawafanyi kazi hii hawaitaki hata kuisikia
Mkuu uko serious au unatania!!!???????
Na pia kwa kipindi 2005 kurudi chi migodi ilikuwa haijaenda mbali lakini leo hii migodi inafikia km 1 na mt 400 kwenda chini mtoto hata weza hy kazi. Kwa kipindi cha nyuma napo watoto walikuwa hawafanyi kazi wao walikuwa ni kutumwa kutoa taarifa tu na vitu vidodog kulingana na umri wao. (Ngoma ya watoto haikeshi) mtoto hawezi (kusomoa) kutoa kiroba masaa 24 ni kitu ambacho hakiwezekani
Niambie ni mgodi gani? mm niende hapo nikashuhudie maana niko hapa block D
Da, mkuu, mbona umeenda mbali sana, tena nje ya mada. Hakika sina sifa ulizotaja. Huu ni mjadala tu. Nilindie heshima basi.Manyerere Jackton. Nani hakujui kuwa unaishi kwa kukokotoa uwongo kwenye ki gazeti chako feki ili uitwe na kupoozwa na wahusika? Wewe na Masyaga Matinyi ni kansa mbaya na tusi kwenye taaluma. Sijui mmetokea wapi nyie wahuni kwa kweli nyie ni magonjwa tena ya aibu. Akili zenu zimo tumboni
The Boss, hujui kitu. Watoto wapo nje wanaokota tu. Hakuna anayeingia shimoni. Nimekaa miezi miwili pale sikuona mtoto "nyoka" akizama chini. Wanaozama ni wana-apollo.
Hivi wewe ni journalist wa aina gani?hata common sense huna? Sasa kama kuna child labour mererani isesemwe? We Ulienda mererani ukakuta hakuna watoto?huu ukanjanja hadi lini?
bibisii wanasema hivi, maseleh naye hivi yaani vurugu mtindo mmoja yote haya yanaletwa na kihongozi zaifu wa inji hii hii lakini asikie hata hausigeli wa malkia ana bethedeii atawasha ndege aendeNdiyo!
Huyu sio journalist ni kanjanja...
Baada ya kufanikiwa kwenye pembe za ndovu, BBC wametukung'uta tena. Safari hii ni kwenye madini ya tanzanite. Wanadai tanzanite inachimbwa na watoto. Wameweka video ya "the gemstone mined by child labour". Huu utakuwa ni mkakati wa makaburu wa tanzaniteone ambao mara zote wameutangazia ulimwengu kuwa tanzanite yao pekee ndiyo halali maana haichimbwi na watoto. Hili ni pigo jingine kwa ndugu zetu wanaotegemea tanzanite kuendesha maisha yao.
===================================
Chanzo;bbc
The Boss, hujui kitu. Watoto wapo nje wanaokota tu. Hakuna anayeingia shimoni. Nimekaa miezi miwili pale sikuona mtoto "nyoka" akizama chini. Wanaozama ni wana-apollo.
Good, hebu na wewe wakusanye watoto wavalishe nguo chafuchafu uwahoji mkuu kama ulivyodai...si wanapenda pesa na wako tayari ....!!!!
MKuu, hata wewe unanishambulia!!! Unafuata mkumbo wa wachafuzi?