Wakuu,
Haya sasa waliochangia kampeni wameanza kufoka huku, ila tunajua hii ni njaa tu baadae waweze kujitwalia fedha bila tozo
-----------------------------
Wachimbaji wa Wadogo wa Madini Mkoa wa Singida wamesema Wataendelea Kumpongeza na Kumsifu Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwatengenezea Mazingira Mazuri katika Shughuli zao Licha uwepo wa watu wanaobeza Kazi kubwa aliyoifanya Rais Huyo
Wakizungumza katika Kongamano kubwa la Wachimbaji wadogo Mkoani Singida ambalo limefanyika wilayani Iramba Wachimbaji hao wamesema serikali imeboresha Maisha yao kupitia Sekta ya Madini kutokana na kutatuliwa kwa Changamoto mbalimbali ambazo zilikuwa zikiwasumbua
Mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleimani Mwenda amesema katika Historia ya Tanzania mgodi wa Sekenke one ndio Mgodi wa Kwanza katika Uchimbaji Madini Nchini Huku Afisa Madini Mkazi mkoa wa Singida akieleza mafanikio ya Uchimbaji Madini Mkoani Singida katika Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego Amesema Sekta ya Madini inakuwa kwa Kasi Zaidi Mkoani Humo ukilinganisha na Sekta za kilimo na Ufugaji ambazo ndio nguzo za Uchumi huku Waziri wa Madini Anthony Mavude Akieleza namna Serkali ilivyojipanga kutumia teknolojia katika Uchimbaji ili kuondoa uchimbaji wa Mazoea
Chanzo: Wasafi FM
Haya sasa waliochangia kampeni wameanza kufoka huku, ila tunajua hii ni njaa tu baadae waweze kujitwalia fedha bila tozo
-----------------------------
Wachimbaji wa Wadogo wa Madini Mkoa wa Singida wamesema Wataendelea Kumpongeza na Kumsifu Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwatengenezea Mazingira Mazuri katika Shughuli zao Licha uwepo wa watu wanaobeza Kazi kubwa aliyoifanya Rais Huyo
Wakizungumza katika Kongamano kubwa la Wachimbaji wadogo Mkoani Singida ambalo limefanyika wilayani Iramba Wachimbaji hao wamesema serikali imeboresha Maisha yao kupitia Sekta ya Madini kutokana na kutatuliwa kwa Changamoto mbalimbali ambazo zilikuwa zikiwasumbua
Mkuu wa Wilaya ya Iramba Suleimani Mwenda amesema katika Historia ya Tanzania mgodi wa Sekenke one ndio Mgodi wa Kwanza katika Uchimbaji Madini Nchini Huku Afisa Madini Mkazi mkoa wa Singida akieleza mafanikio ya Uchimbaji Madini Mkoani Singida katika Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego Amesema Sekta ya Madini inakuwa kwa Kasi Zaidi Mkoani Humo ukilinganisha na Sekta za kilimo na Ufugaji ambazo ndio nguzo za Uchumi huku Waziri wa Madini Anthony Mavude Akieleza namna Serkali ilivyojipanga kutumia teknolojia katika Uchimbaji ili kuondoa uchimbaji wa Mazoea
Chanzo: Wasafi FM