pmwasyoke
Platinum Member
- May 27, 2010
- 4,886
- 3,571
kwani kuna nchi nyengine inayo chimba Tanzanite?
Nami nimeshangaa mkuu!
kwani kuna nchi nyengine inayo chimba Tanzanite?
Inawezekana kabisa hakufanya vizuri hiyo research yake au mtazamo wake uko tofauti na wengi tunavyojua kuhusu child labour.My be research yako ulikuwa unaifanyia baa,na mlivyozoea kutuandikia habari za kugoogle sidhani kama ulifika field wewe.
Yaani wewe ni journalist kumbe hata upeo huna kabisa....hujui hata maana ya child labour..hata wanaouza mayai chalinze ni child labour hata kama ni mitaji yao...jielimishe usije jidharaulisha tena
Matusi hayasaidii. Mimi nimesema nyoka hawazami. Wanaokoteza mabaki nje tu
Pale kuna vyama kama arema na tamida vinazuia watoto kuzama. Walioko nje ni kawaida kama ilivyo kwenye fukwe ambako kuna watoto wengi au ktk masoko.
Baada ya kufanikiwa kwenye pembe za ndovu, BBC wametukung'uta tena. Safari hii ni kwenye madini ya tanzanite. Wanadai tanzanite inachimbwa na watoto. Wameweka video ya "the gemstone mined by child labour". Huu utakuwa ni mkakati wa makaburu wa tanzaniteone ambao mara zote wameutangazia ulimwengu kuwa tanzanite yao pekee ndiyo halali maana haichimbwi na watoto. Hili ni pigo jingine kwa ndugu zetu wanaotegemea tanzanite kuendesha maisha yao.
Baada ya kufanikiwa kwenye pembe za ndovu, BBC wametukung'uta tena. Safari hii ni kwenye madini ya tanzanite. Wanadai tanzanite inachimbwa na watoto. Wameweka video ya "the gemstone mined by child labour". Huu utakuwa ni mkakati wa makaburu wa tanzaniteone ambao mara zote wameutangazia ulimwengu kuwa tanzanite yao pekee ndiyo halali maana haichimbwi na watoto. Hili ni pigo jingine kwa ndugu zetu wanaotegemea tanzanite kuendesha maisha yao.
Hivi kwa maono yako kuna serikali ya kuwasaidia hawa watoto? Nani awapeleke shule? Hata marekani haijaweza na ndiyo maana inao wasiojua kusoma wala kuandika. Kama kujifungua tu hatuwezi kugharimia, hiyo shule na chakula serikali itaweza? Wale watoto wanatafuta kuishi. Hawawezi kufia ndani ilhalu kuna kuchakuachakua mchanga ili wapate kula.Manyerere mimi sijaenda huko na kukaa miezi miwii kama wewe lakini nakuhakikishia BBC hawajakurupuka na wala hawatumiwi na hao uliowataja. Just wait and see. By the way, hao watoto wakiokota huko nje kama unavyodai bado kuna kwenda shule kweli hapo? Juzi juzi msomali wa nyara zetu za taifa alikuwepo huko lakini sikumbuki hili kusemwa kama moja ya changamoto-Thanks to BBC for surfacing this crucial matter maana naona future ya watoto wa walalahoi imeachwa ikatumbukie shimoni bila msaada wowote.
Matusi hayasaidii. Mimi nimesema nyoka hawazami. Wanaokoteza mabaki nje tu
Pale kuna vyama kama arema na tamida vinazuia watoto kuzama. Walioko nje ni kawaida kama ilivyo kwenye fukwe ambako kuna watoto wengi au ktk masoko.
The Boss, hujui kitu. Watoto wapo nje wanaokota tu. Hakuna anayeingia shimoni. Nimekaa miezi miwili pale sikuona mtoto "nyoka" akizama chini. Wanaozama ni wana-apollo.
Baada ya kufanikiwa kwenye pembe za ndovu, BBC wametukung'uta tena. Safari hii ni kwenye madini ya tanzanite. Wanadai tanzanite inachimbwa na watoto. Wameweka video ya "the gemstone mined by child labour". Huu utakuwa ni mkakati wa makaburu wa tanzaniteone ambao mara zote wameutangazia ulimwengu kuwa tanzanite yao pekee ndiyo halali maana haichimbwi na watoto. Hili ni pigo jingine kwa ndugu z wanaotegemea etu tanzanite kuendesha yao.[/p] maisha
Yeye anahisi kuchimba mpka waingie ndani ya shimo labda.
The Boss, hujui kitu. Watoto wapo nje wanaokota tu. Hakuna anayeingia shimoni. Nimekaa miezi miwili pale sikuona mtoto "nyoka" akizama chini. Wanaozama ni wana-apollo.
Haya ni matokeo ya sera za kipuuzi za hao hao waingereza na mabepari wenzake. Walituhadaa tukaamini ubepari ndiyo jibu. Kwa mtindo huu, kama mtoto, ama hana wazazi na qalezi, au anao lakini hawana uwezo, lazima aingie kwenyw hii mnayoona ni child labour. Hali si mbaya kama bbc wanavyouaminisha ulimwengu. Hili ni la dunia nzima.Kaka we much as wanatakiwa wawe shule na kwingineko kwenye manufaa kwa umri na ustawi wao hilo si sahihi
We unasema wanaokota tu as if wewe wako ungewaruhusu wakaokote!!!!!!
Hakuna zimwi bora hapo! !!!!!
manyerere jackton huwa ni mhariri nchumia tumbo ngoja watuanike maana ninyi wahariri wa tanzania mnaogopa kuandika mambo kama hayo, suala la watoto kuchimba madini lipo sehemu nyingi nchi hii hebu nenda mkuyuni na matombo morogoro utajiaonea mwenyewe
Manyerere Jackton vp? Unatafuta fungu la TanzaniteOne nini?
Haya ni matokeo ya sera za kipuuzi za hao hao waingereza na mabepari wenzake. Walituhadaa tukaamini ubepari ndiyo jibu. Kwa mtindo huu, kama mtoto, ama hana wazazi na qalezi, au anao lakini hawana uwezo, lazima aingie kwenyw hii mnayoona ni child labour. Hali si mbaya kama bbc wanavyouaminisha ulimwengu. Hili ni la dunia nzima.
Baada ya kufanikiwa kwenye pembe za ndovu, BBC wametukung'uta tena. Safari hii ni kwenye madini ya tanzanite. Wanadai tanzanite inachimbwa na watoto. Wameweka video ya "the gemstone mined by child labour". Huu utakuwa ni mkakati wa makaburu wa tanzaniteone ambao mara zote wameutangazia ulimwengu kuwa tanzanite yao pekee ndiyo halali maana haichimbwi na watoto. Hili ni pigo jingine kwa ndugu zetu wanaotegemea tanzanite kuendesha maisha yao.
===================================