Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Ukitaka kujua Tanzania ni ya ngapi kamuulize Idi Amin na Kaburu among others. Kenya ni koloni la Uingereza. Maybe, wanataka kutumia namba yao kuwapa makoloni yao. Kesho utaambiwa hata Rwanda inatuzidi wakati wao na Uganda tumeatengezaBBC wa ajabu Sana hawa.
Eti kijeshi Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12...