BBC Swahili Tumewachoka!

BBC Swahili Tumewachoka!

Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Ni ukweli na siyo uongo pole....hapo ulipo saivi kuna kitu umevaa kimeanfikwa made in TZ????
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Mkuu hivi wametangaza habari ya uongo? Shilingi ya Tz na Kenya unaweza kuzilinganisha? Ukweli ni kwamba hela ya Tanzania na Kenya zina tofauti kubwa sana ya thamani,kenya wapo mbali...ukija katika maendeleo pia Kenya watuacha sana,jaribu kufuatilia. DAWA NI KUIONDOA CCM MADARAKANI kwa kuwapigia kura wagombea wa UKAWA.
 
Na muelewe watanzania jinsi uchumi wa duniya unavyojiendesha China ameshusha thamani ya pesa yake automatically imeathiri mpaka dollar ya marekani kwa nchi za afrika ndio zaidi kwa kuwa tunafanya sana biashara na uchina.kwahiyo si jambo la ajabu sana ni suala la nchi yenye nguvu kiuchumi Kama china kufanya inachokiona ni sahihi kwa manufaa yake.

Hebu niambie shilingi ya Kenya ilikuwa katika thamani ipi kabla China hawajaamua kushusha thamani ya hela yake kwenye kuexport bidhaa zake. Halafu uilinganishe na shilingi ya Tanzania. Ni kwanini Kenya hawajaathirika na hilo?
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Ni kweli!! Kwani ni uongo ndg? Huwezi kuifananisha sh ya kenya na ya tz hata kidogo
 
Hebu niambie shilingi ya Kenya ilikuwa katika thamani ipi kabla China hawajaamuabkushusha thamani ya hela yake kwenye kuexport bidhaa zake. Halafu uilinganishe na shilingi ya Tanzania. Ni kwanini Kenya hawajaathirika na hilo?

Aliyekwambia shilingi ya Kenya haijaathiriwa nani?
 
Kwani gazeti la Mwananchi halipendelei Kenya?
 
Ukweli Mtupu ... CCM must go ... CCM imeua Viwanda, Imeshindwa kusimamia Maliasili zetu, Imeingia mikataba ya kishenzi, imeua viongozi mahiri na wananchi wasiokuwa na hatia ... CCM imeua wananchi kwa kuwalinda wawekezaji ..
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Kwani wanaongopa kuwa sh haijashuka?sh ya Tz unaweza kuilinganisha na sh ya Kenya?leo hii Kenya wana treni ya mwendo kasi,hapa Tanzania ndio tumeiua kabisa reli yetu ya kati alafu unawalilia BBC?BBC siyo kama TBC
 
Hii ni myth ' Wakenya wasiojua Kiswahili' Yaani nyie Kiswahili chenu cha gali, nzuli, mshahala, kula (kura) ndiyo Kiswahili? Kenya hutoa kila mwaka wanafunzi 4000 waliohitimu BA ya Kiswahili. Nyie blabla blaaaaa

Kweli mkuu Tanzania ni ngonjera tuuupuuuu
 
Tusitukane tuangalie penye ukweli, je ni kweli shillingi haijashuka? nini cha kufanya ili tusiwe mfano mbaya wa kila siku? inawezekana ukweli kuwa BBC swahili imekuwa kijiwe cha wakenya kujitangaza, sisi tunafanya nini?

Wao ni mafanikio,sisi Tanzania ni majungu tu na kutukana matusi majukwaani alafu watu wanafurahia kama mazuzu
 
Si usikilize tbc fm; yawezekana unafurahia sana kudanganywa na kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Nchi imeozaa hii, unadhani ni kwanini watu wanataka mabadiliko??? #TAFAKARI.

Asikilize TBC,radio Uhuru na kusoma magazeti ya Uhuru na mzalendo
 
Mkuu huu ni ukweli mchungu ndani ya miezi 5 uliyo pita us dola imepanda dhidi ya Tsh. kutoka 1600 hadi 2400 /=. Hivi sasa ipo 2200/= baada ya mkopo kutoka SA & china, ambao unaweza kumentain hadi December. Chanzo hasa cha kuporomoka kwa sarafu ni uchotwaji wa pesa za eskroo kwenye viroba ilisababisha fedha nyingi za wahisani kusitishwa.

Huo ndio ukweli lkn kwa mwana ccm hataki kuukubali
 
Wewe ni CCM tu kwani unataka usifiwe kwa ujinga unofanya mpaka shilingi inashuka na huna cha kufanya. BBC Swahili wako makini na taarifa zao. Wame analyze kudorora kwa uchumi wa china, wakaja kushuka kwa rand ya south africa, na baadaye waongelea uwezekano wa uchumi wa nigeria kuyumba kwani china ndo mteja wa mafuta yao mkubwa.

Ni kweli ktk east africa TZ pesa yetu imeshuka sana pamoja na uganda, kenya wako juu yetu sana. US dollar 1 ni Kshs 92 wakati dollar hiyo hiyo ni TZS 2090, unasemaje sasa?

Hongereni BBC kwa kusema ukweli daima

Asante mkuu kwa kuweka mchanganuo na kutujulisha hali halisi
 
Back
Top Bottom