BBC Swahili Tumewachoka!

BBC Swahili Tumewachoka!

Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

Mkuu mbona unatujumuisha wote??mimi nafurahia wanapo onyesha ubovu wa ccm
 
Wana ccm Wana ugomvi na facts... Kuna ubaya gani kama lisemwalo lipo??
 
Watangazaji na waandishi waandamizi wa BBC wengi ni wakenya ndio sababu ya yote hayo.
 
Sasa wakusifie huku unafanya vibaya? Hao hawapak mafuta kwa mgongo wa chupa aiseee! Pole sana
 
kwani BBC wamesema uongo! yaani serikali ya ccm imetutengenezea watu wa hovyo sana, watu ambao hawatumii akili kuwaza, watu ambao hawana Hoja zaidi ni vihoja tu, maana hata hiki ulichozungumza ni kihoja, na unashindwa kuisema TBC yenu ambayo ni televisheni ya taifa lakini BAGUZI kinakua kama chombo cha habari cha ccm!

hamna namna ccm must GO!
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!
Hii nchi vitu vingi ni hovyo ndugu yangu mfn.magufuli anashangaa jana kwa nn tanzanite inatoka tz ila wauzaji ni india na kenya ni upumbavu kwani yy km sehemu ya serikali ilitakiwa atupe majibu sio kuuliza.barabara atajenga six line wakati leo ndio waziri mwenye zamana hajaweza ni ujanja unjanja tu hawa watawala,reli wameua leo kenya wanajenga yy anatupa story,tumezidi wacha tusemwe vibaya tu labda tutajifunza.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

Kwani wamesema uongo?
 
Labda Kama husikii Kiswahili vizuri.pesa iliyotajwa kushuka thamani sana leo ni Randy ya Africa kusini sijasikia pesa ya Tanzania but all in all BBC hawatangazi habari Kama Tanzania Daima au Gazeti la uhuru kwahivo tegemea habari mchanganyiko brother.
 
Na muelewe watanzania jinsi uchumi wa duniya unavyojiendesha China ameshusha thamani ya pesa yake automatically imeathiri mpaka dollar ya marekani kwa nchi za afrika ndio zaidi kwa kuwa tunafanya sana biashara na uchina.kwahiyo si jambo la ajabu sana ni suala la nchi yenye nguvu kiuchumi Kama china kufanya inachokiona ni sahihi kwa manufaa yake.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

Unachotakiwa kutuambia je kati ya hayo wanayoyaongelea BBC ni ya kweli au wanadanganya? unapolaumu kitu au kupinga kitu ni lazima uwe na ushahidi wa kanusho lako
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

Angalia TBC wao wanaisifia sana Tanzania na hususani chama cha Mapinduzi (CCM) ili ujifariji.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

Unachoka nini? Kwani Uongo? Shillings imeshuka kweli lazima tukubali kukosolewa sasa tutajifunza lini? Achana na mambo ya Nchi zingine wewe angalia Nchi yako.
 
Labda Kama husikii Kiswahili vizuri.pesa iliyotajwa kushuka thamani sana leo ni Randy ya Africa kusini sijasikia pesa ya Tanzania but all in all BBC hawatangazi habari Kama Tanzania Daima au Gazeti la uhuru kwahivo tegemea habari mchanganyiko brother.

Hakuna Ubaya kama BBC wanatangaza habari za kujifunza kwa kutukosoa.
 
Pesa ya Tanzania imeshuka thamani kweli si uongo sasa sijui anailaumu BBC kwa kigezo kipi?
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!
ulikuwa hujui CCM ktk propaganda zake za kijamaa ilihakikisha KUPITIA UDSM watu wao wanakwenda ili wakafanye vittu wazungu hawakuwahi fikiria kufanya kazi ya kupinga west,kupinga Israeli na kuendeza propaganda za kimasharikini,huku wakihakikiksha wanaoitwa magwiji wa habari na wachambuzi wa kisiasa ni akina Bushiru,Shivji, Prof marehem Haroub Othman, Nkamia na wengine ?CCM ilishida ktk hilo ,ila time ya kufa wanashindwa ktk hilo...
 
Si usikilize tbc fm; yawezekana unafurahia sana kudanganywa na kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Nchi imeozaa hii, unadhani ni kwanini watu wanataka mabadiliko??? #TAFAKARI.
 
Tusitukane tuangalie penye ukweli, je ni kweli shillingi haijashuka? nini cha kufanya ili tusiwe mfano mbaya wa kila siku? inawezekana ukweli kuwa BBC swahili imekuwa kijiwe cha wakenya kujitangaza, sisi tunafanya nini?
 
Back
Top Bottom