Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Kama rangi nyeupe ni nyeupe tu, hata ukiongopewa bluu ukweli ni nyeupe sisi Malofa/Wapumbavu wa miaka hii tunaamini hivyo.
Hatupendi ukweli.
Kama rangi nyeupe ni nyeupe tu, hata ukiongopewa bluu ukweli ni nyeupe sisi Malofa/Wapumbavu wa miaka hii tunaamini hivyo.
Usipanic ndugu, jiulize hayo wanayosema ni kweli au si kweli? Tafakari na chukua hatua.Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Hii ni myth ' Wakenya wasiojua Kiswahili' Yaani nyie Kiswahili chenu cha gali, nzuli, mshahala, kula (kura) ndiyo Kiswahili? Kenya hutoa kila mwaka wanafunzi 4000 waliohitimu BA ya Kiswahili. Nyie blabla blaaaaa
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Mbona povu linakutoka namna iyo, kwani kuna kipi tulichosingiziwa?? Sarafu yetu wamesema imeporomoka kwani ni uongo??Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?
Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!
Wabongo bwana tunamatatizo, sasa si ni kwelishilingi yetu inashuka, au ww unaona inapanda?
Hili ndilo tatizo kubwa linalotukumba watanzania,kamwe ukweli hatuupendi na tunafurahia kuongepewa,hivi wewe ulitaka usifiwe kuwa shilingi ya Tanzania inaimarika wakati kila siku imezidi kuporomoka?sifa gani ulitaka ulinganishwe kwa shilingi ya Kenya wakati kwa sasa shilingi ya Kenya ni sawa na takribani shilingi 23 mpaka 25 ya Tanzania?dola moja sawa sh 80 ya kenya ilihali dola hiyo moja ni takriban shilingi 2200 ya Tanzania?sifa gani ulitaka hapo Mtanzania mwenzangu bbc wakupe Tanzania?je shilingi yetu haipo katika mporomoko wa hatari unaotishia mustakabari wa uchumi wetu?mwaka 2005 dola moja ilikuwa sawa na shilingi 1080 mpaka 1180 lakini ndani ya miaka 10 hali ndo hiii...shilingi moja ya Kenya ilikuwa sh 14 mpaka 16 ya Tanzania leo hiii tupo hapo....! lets be honest bbc wamefanya kazi yao kutuamsha tujitambue,hizi si zama za uwongo:A S 41::A S 41:Washenzi hawa wakenya,bbc swahili wameifanya kijiwe,na kupendelea kenya,wakati mie naona wasikilizaji wengi wapo Tanzania,na baadhi ya watanzania waliopo bbc ni kama mananga,hawana uzalendo,yaani wakenya wasiojua hata kiswahili ndo wanawaburuza kwa kupendelea habari za kenya,kweli mkuu wanakera sana.