BBC Swahili Tumewachoka!

BBC Swahili Tumewachoka!

Nashangaa sisi watz tuna matatizo sana, eti tusifiwe hata kama utendaji wetu ni mbovu kabisa ukilinganisha na wengine.

Hatupendi kukosolewa tunajiona tuko sahihi.

Simply hamia huko kama unadhani nchi yako haina maana! Elewa; hakuna aliyekataa kukosolewa. Lakini ikizidi unagundua kuwa huko sio kukosolewa tu bali kuna ajenda ya ziada. Tanzania ndio nchi yangu; I will stand by it, whatever it takes!!
 
Ma CCM utawajua tu, sasa kwani ni uongo? mbona huwa mnapenda kuficha maovu? kuna haja gani ya kujisifia kuwa jana umekula pilau kumbe umelalia viazi? ni ujinga tu! mtoa post bado hajaelimika! nasikitika miaka 50 ya uhuru watanzania walio wengi wameendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu akiwemo mtoa post...

Natamani nikuporomoshee matusi ya nguoni wewe Kalulu kutokana na lugha yako chafu, lakini nachelea kufanya hivyo--coz najua humu JF wapo walioelimika kiukweli--hawatagundua nani ni mjinga na asiyeelimika kati yetu. Huu sio unyonge, ni busara tu!
 
Hivi BBC wanachosema ni uongo? Si kweli kwamba shilingi inaporomoka kila siku? Tanapaswa kuchagua UKAWA ili tuiinue shilingi yetu. Tuache ujinga, waache BBC waseme ukweli.Wenzetu Kenya wapo kwenye uchumi wa kati wakati sisi hata elimu haieleweki kama iko katika kiwango cha kimataifa au cha kitaifa.
 
bbc wanasema ukweli mtupu kenya wako kikazi wanaleta.treni.ya umeme gogo la mwakyembe limekufa mazima.saraf ya tz imeporomoka ya kenya iko stable.budget ya kenya ni independent ya bongo dependent unataka wasemaje?rais wa kenya anafanya kazi rais wa tz anasafiri(utalii)na kujimwaga na wasanii

Unahamia huko lini mzee ili tukuelewe?
 
Hivi BBC wanachosema ni uongo? Si kweli kwamba shilingi inaporomoka kila siku? Tanapaswa kuchagua UKAWA ili tuiinue shilingi yetu. Tuache ujinga, waache BBC waseme ukweli.Wenzetu Kenya wapo kwenye uchumi wa kati wakati sisi hata elimu haieleweki kama iko katika kiwango cha kimataifa au cha kitaifa.

Ukishatumbukiza mambo ya UKAWA umeshajitenga na hoja hii! Kila saa watu wengine ni UKAWA ni CCM, utadhani wamechanganyikiwa! Please jaribu kufikiri nje ya box angalau kidogotu!
 
Nashangaa sisi watz tuna matatizo sana, eti tusifiwe hata kama utendaji wetu ni mbovu kabisa ukilinganisha na wengine.

Hatupendi kukosolewa tunajiona tuko sahihi.

Anyejidharau mwenyewe kila siku atabaki mnyonge tu! Sio kweli kwamba kila kitu Tanzania ni ovyo na sio kila kitu Kenya ni kizuri. Msitupotoshe hapa, tuna akili mazee!
 
acha uvivu wa kufikiri....

BBC Swahili inatangaza kwa ajili ya africa mashariki na maziwa makuu ambako kiswahili kinaongewa zaidi, ulitaka watoe mifano ya Egypt au Morocco kwa waarabu...

besides...lengo lilikuwa ni kuonyesha namna gani kitendo cha wachina kushusha thamani ya yuan kitaahiri uchumi wa nchi zetu hizi na kuzidi kuporomosha thamani ya pesa yetu ya madafu.

si kila kitu kinahitaji politicky...mambo mengine ni ya kitaalamu zaidi, google uelewe impact ya currency devaluationa na hasa kama nchi yenye kufanya hivyo inashika nafasi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani na sisi tunahemea kila kitu kutoka uchina hata vijiti vya kuchokonelea meno.

Binafsi sina haja ya kuelimishwa na wewe coz najua hujui kitu unakurupuka tu! Nisingekujibu kabisa kwa sababu nimekugundua ni kopo tupu. Ila nimekujibu kutokana na sentensi yako ya kwanza tu, ambayo inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani! Mimi sio saizi yako--period!
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Why unasema MNATUUDHI SANA? Wewe na nani wakati thread umeanzisha mwenyewe? Kama ulifanya ka research na kuuliza watu kadhaa na wakawa na same observations sawa. Mwisho ukweli unakuweka huru irrespective of who said it.
 
Binafsi sina haja ya kuelimishwa na wewe coz najua hujui kitu unakurupuka tu! Nisingekujibu kabisa kwa sababu nimekugundua ni kopo tupu. Ila nimekujibu kutokana na sentensi yako ya kwanza tu, ambayo inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani! Mimi sio saizi yako--period!

the fact kwamba ulitumia muda wako kusoma response yangu na tena kuijibu ni kwamba ilikugusa na umegundua kiwango cha upumbavu ulio nao....

baina ya nlichokiandika kwenye uzi wako wa kijinga na upuuzi uliojibu, kila mwenye akili timamu anaweza kugundua nani ni kopo...

kwamba huhitaji kujifunza kwangu ni namna nyingine wapumbavu huwa wana react pale wanapoguswa...mtu mwenye akili timamu siku zote huwa tayari kujifunza kwa unayemjua, usiyemjua, mdogo, mkubwa....mwerevu anaangalia content siyo sura ya mtu lakini mpumbavu anaangalia sura...

uzuri ni kuwa hunijui wala sikujui kwa hiyo sihitaji kuwa size yako...besides, sihitaji kulinganishwa na mpumbavu khalas!
 
Binafsi sina haja ya kuelimishwa na wewe coz najua hujui kitu unakurupuka tu! Nisingekujibu kabisa kwa sababu nimekugundua ni kopo tupu. Ila nimekujibu kutokana na sentensi yako ya kwanza tu, ambayo inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani! Mimi sio saizi yako--period!
Mkuu kubali tu kuwa maada uliyo ianzisha hukujua ni pana kiasi gani.
 
Asante k-boko.hata mm wananikera sana.naona kuna upungufu bbc, wako biased sana kwa sababu katika matangazo yao ya ukanda wa maziwa makuu, kiasi kikubwa ni habari za kenya na ni kila siku.hata ukija kwenye coverage ya uchaguzi wetu ni kama hakunakinachoripotiwa.labda kwa sababu watangazaji wao wengi ni wakenya!

Kwa sasa deutsche welle wana coverage nzuri ya habari za maziwa makuu na africa lkn sio bbc swahili.

May b kuna haja ya kuna wa watangazaji wengi zaidi watanzania kwenye vyombo hivi vya kimataifa la sivyo tutapotezwa!

Mkuu, kumbuka kuna BBC Dar. Akina Regina mziwanda ni watanzania wale.
 
Ukilalamika bbc kwa kukueleza ukweli ni kujidsnganya Leo tsh sh ndio inathaman ndogo hata Burundi wasio ns kitu hela yao iko juu ni Uganda tu tumewaxidi pekee na muda si mrefu itakuwa juu
 
Kweli inaboa,hao wengine vp hawana baya yao yote mazuri?.Mleta mada big up kwa kuliona hilo na kulikemea.Wajinga kila kitu wanaona ni siasa tu.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Lazima utakuwa ni gamba fulani ndio maana haupendi kusikia ukweli hasa muda huu wa usajili
 
Hakika wewe ni mjinga kweli yaani unataka watoe mfano gani mzuri Kwa Tanzania. Yaani kuna mijitu sijui ina akili za kuku, yaani mimi hupata shida kuelewa posts za kijinga km hii. Wewe zero kichwani kabisa.

mifano mizuri ni baada ya ccm kukaa pemben vinginevyo itakuwa ni ndoto na kulaumiana bure
 
Ndo ukweli wala usikasirike.
Mfn:
Mauaji ya Albino
Ujangili
Sarafu

Mifano dhahiri ni Tanzania
 
Ukilalamika bbc kwa kukueleza ukweli ni kujidsnganya Leo tsh sh ndio inathaman ndogo hata Burundi wasio ns kitu hela yao iko juu ni Uganda tu tumewaxidi pekee na muda si mrefu itakuwa juu

Huyu mtoa mada hajatathmini hayo
 
Back
Top Bottom