- Thread starter
- #121
Nashangaa sisi watz tuna matatizo sana, eti tusifiwe hata kama utendaji wetu ni mbovu kabisa ukilinganisha na wengine.
Hatupendi kukosolewa tunajiona tuko sahihi.
Simply hamia huko kama unadhani nchi yako haina maana! Elewa; hakuna aliyekataa kukosolewa. Lakini ikizidi unagundua kuwa huko sio kukosolewa tu bali kuna ajenda ya ziada. Tanzania ndio nchi yangu; I will stand by it, whatever it takes!!