BBC Swahili Tumewachoka!

BBC Swahili Tumewachoka!

Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!
Mkuu huu ni ukweli mchungu ndani ya miezi 5 uliyo pita us dola imepanda dhidi ya Tsh. kutoka 1600 hadi 2400 /=. Hivi sasa ipo 2200/= baada ya mkopo kutoka SA & china, ambao unaweza kumentain hadi December. Chanzo hasa cha kuporomoka kwa sarafu ni uchotwaji wa pesa za eskroo kwenye viroba ilisababisha fedha nyingi za wahisani kusitishwa.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

FANYENI VIZURI, HAWATAPATA KIBAYA CHA KUWATOLEA MFANo.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi? Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!!!

..kwani hiyo shilingi yenu haijaporomoka, unataka waseme imepanda au?
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Kwani ni uongo?
 
ndo ccm yako hiyo imeporomosha na bado tutafikia mpaka hyper inflation......
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

kwani ni uongo kuwa hela ya tz haina thamani??
 
Hivi kwann mkiambiwa ukweli mnachukia,, au haujui exchange rate kwa USD, sasa ipo vipi dhidi ya tsh?
 
ukweli unauma sana, kuna nzuri lipi kulinganisha na kenya hasa kimaendeleo, si nyie mashabiki komaeni.
 
Kama rangi nyeupe ni nyeupe tu, hata ukiongopewa bluu ukweli ni nyeupe sisi Malofa/Wapumbavu wa miaka hii tunaamini hivyo.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Wewe ni CCM tu kwani unataka usifiwe kwa ujinga unofanya mpaka shilingi inashuka na huna cha kufanya. BBC Swahili wako makini na taarifa zao. Wame analyze kudorora kwa uchumi wa china, wakaja kushuka kwa rand ya south africa, na baadaye waongelea uwezekano wa uchumi wa nigeria kuyumba kwani china ndo mteja wa mafuta yao mkubwa.

Ni kweli ktk east africa TZ pesa yetu imeshuka sana pamoja na uganda, kenya wako juu yetu sana. US dollar 1 ni Kshs 92 wakati dollar hiyo hiyo ni TZS 2090, unasemaje sasa?

Hongereni BBC kwa kusema ukweli daima
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

kwani shilingi ya tanzania imepororomoka au imepanda??
tuanzie hapo.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Tupa ccm pembeni October 25 utaona mabadiliko .miezi 2 utaona waandika shilingi imepanda dollar 1sh 1342
 
Kulalamika kama madudu pori, kwani ni uongo? Kwa nini tunapenda kuambiwa vitu vya kutufufahisha?

Hata tukiambiwa tembo wetu ndio wana soko zaidi china tutakataa, sijui kama neno LOFA lilitumika vyema pale kwenye mkutano wenu
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!

Because they were taught not to lie but to state the facts. They're principled too,something which you're not used to, poor man.
 
Yaani kila mifano ya ovyo ni Tanzania tu? Katika News report yao usiku huu wanatoa mifano ya sarafu zilizoporomoka na haraka wamekimbilia kutoa mfano wa shilingi ya Tanzania. Ni nini ninyi?

Tumewachoka sana kutudhalilisha kila siku! Kila jambo jema mnakimbilia Kenya. Mnatuudhi sana sana msione tumenyamaza!


Siku watanzania tukithamini UKWELI ,basi ujue ndiyo siku maendeleo yataanza kupatikana.Watanzania wengi hatupendi kuambiwa ukweli hata kama jambo linalosemwa ni kwa ajili ya maendeleo yetu wenyewe.

Mfano mzuri Obama kaenda Kenya kawananga viongozi wa Kenya kuhusu RUSHWA na UFISADI,sababu kubwa kwanza ni kwao na sababu ya pili wanapenda kuelezwa ukweli.

Hebu turudi nyumbani,tulipewa sifa kedekede kuhusu viongozi wetu wanavyopigana na rushwa na ufisadi,tukiangalia ukweli ni kinyume chake.Mpaka inapofika aliyejitajirisha akiwa ndani ya IKULU anamalizia kwa kutuita WAPUMBAVU na MALOFA hakukosea,sababu tunapenda kudangaywa.

Shilingi alipoingia madarakani JK ilikuwa $1=Tzs.800,leo $1.=Tzs2,200 halafu unataka waseme shilingi yetu na uchumi wetu unakuwa kwa asilimia 7.7

Hakuna kitu ninachochukia kama uwongo.!!!!!!!!!Labda kama unakuwa mifukoni mwa Malodilofa wetu.
 
Back
Top Bottom