BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,335
- 1,386
Uliiona habari ya Dreamliner? BBC wamemsifia kweli Magufuli. Hicho chombo hakina upande hata Putin anawaheshimu BBC.
Unafikiri BBC ni sawa na mawio?wakuu
kwa muda sasa hili shirika la utangazi kutoka uingereza BBC limekuwa likiripoti habari kwa namna ya kichochezi hapa tanzania
kwa hapa nchini BBC kupitia BBC swahili imekuwa mstari wa mbele kuuoneshea ulimwengu na watanzania yale mambo tu yenye ukakasi yanayofanywa na mh rais Magufuri hata kama hayana ukakasi huo BBC swahili hukoleza chumvi na hatimaye kuichafua serikali ya awamu ya tano
kiukweli bbc swahili ni chanzo cha uchochezi, mambo mazuri ya serikali hii hayashikiliwi na hayatangazwi sana kama hizi kauli za kawaida tu ambazo hutolewa na rais
Imefika wakati rasmi sasa, serikali iiwaadhibu na kuwadhibiti hawa Bbc kwa tabia zao za kumchafua rais. uthibiti umewezekana kwa vyombo vya habari vya ndani, kwanini BBC swahili isidhibitiwe?
Nini kinakwamisha serikali kukifungia bbc kwa uchochezi kinaoufanya?
wapi mamlaka husika? inaama hawaoni uchochezi huu kutoka bbc? au wizara ipo kwa itv startv jf, tanzania daima na media za watanzania tu
ni wakati sasa bbc kichukuliwe hatua, uchochezi wake hauvumiliki
Anadhania kuifungia BBC ni sawa na Tanzania DaimaKusema wafungwe wapigwe mateke ndio uchochezi.
Huko asingeweza kuonekana kwa wateuziUngeenda kutoa taarifa na mapendekezo yako tisiaraei hapa unajisumbua tu
Anatafuta kikkKwani umekatazwa kununua uhuru Na kuaangalia tbc?
Wanataka kila siku kusifiwaSi juzi waliwasifia kwa documentary ya standard gauge...!!! Mbon povu lawatoka kwa hili
Wao wanataka kila siku kusifiwa hata kama watakuwa wanahitaji kukosolewaUliiona habari ya Dreamliner? BBC wamemsifia kweli Magufuli. Hicho chombo hakina upande hata Putin anawaheshimu BBC.
Wacheni lawamaTatizo sio bbc tatizo liko kwa huyo mwandishi wao wa habari alieko hapa tanzania .
Atajuwaje wakati kila siku anasoma uhuru na mzalendo?Huna uelewa wowote wewe zaidi ya kuwa fuata upepo, kama hujui wazungu ndio wanakuwa wanachangia bajeti yenu ya kila mwaka kwa %40
Like son Like fatherVijana wa jiwe uwezo wenu wa kufikiri unatia aibu sana
Dawa naona imekuingia vemaWadhungu wasipokuwa wachochezi kwa nchi za kiafrica watakula wapi?
Waache wajidumbue tumesha wapiga chini hiyo miimbecile!
UmenenaNi bahati mbaya taifa Lina watu wanaofikir kama wewe....
Dawa ya habari isiyokupendeza ni kufafanua, kuelezea na kuonesha umuhim WA huo msimamo wako, hayo ya kufungia mtafungia viredio vyenu uchwara Tu... Most of us can have the access of BBC anywhere at anytime...
Kweli, waliosema "Nionyeshe Rafiki/Marafiki zako Nami nitakueleza Wewe ni mtu wa aina gani hawakukosea." Tumeshakujua wewe ni mtu wa aina gani kutokana na marafiki ulionao. Haisumbui hata kidogo. But remember this "Tanzania si mali ya mtu binafsi. Ni ya Watanzania wote." Tuheshimiane kwani mawazo kinzani daima ndio hujenga Jamii na si kauli za ndio mzee. Inatia hasira kuona mtu analeta upuuzi wake hapa eti BBC wanaleta uchochozi. Substantiate huo uchochezi wa BBCwakuu
kwa muda sasa hili shirika la utangazi kutoka uingereza BBC limekuwa likiripoti habari kwa namna ya kichochezi hapa tanzania
kwa hapa nchini BBC kupitia BBC swahili imekuwa mstari wa mbele kuuoneshea ulimwengu na watanzania yale mambo tu yenye ukakasi yanayofanywa na mh rais Magufuri hata kama hayana ukakasi huo BBC swahili hukoleza chumvi na hatimaye kuichafua serikali ya awamu ya tano
kiukweli bbc swahili ni chanzo cha uchochezi, mambo mazuri ya serikali hii hayashikiliwi na hayatangazwi sana kama hizi kauli za kawaida tu ambazo hutolewa na rais
Imefika wakati rasmi sasa, serikali iiwaadhibu na kuwadhibiti hawa Bbc kwa tabia zao za kumchafua rais. uthibiti umewezekana kwa vyombo vya habari vya ndani, kwanini BBC swahili isidhibitiwe?
Nini kinakwamisha serikali kukifungia bbc kwa uchochezi kinaoufanya?
wapi mamlaka husika? inaama hawaoni uchochezi huu kutoka bbc? au wizara ipo kwa itv startv jf, tanzania daima na media za watanzania tu
ni wakati sasa bbc kichukuliwe hatua, uchochezi wake hauvumiliki