BBC na uchochezi, itafutwe namna idhibitiwe

Hii nchi hii ipo cku mawe yataongea maana mnatamani kila mtu awasifie kwa lipi hasa au kwa kipi haswa au mlidhani kununua ndege ndio mtaandikwa mpaka kwenye cnn na mashirika yote ya habari duniani mkisifiwa?....huwezi kusonga mbele kama hujakosolewa TBC na gazeti la UHURU vinatosha kabisa kuwasifia msiforce kila mtu awasifie kwa lazima..
 
wakuu

kwa muda sasa hili shirika la utangazi kutoka uingereza BBC limekuwa likiripoti habari kwa namna ya kichochezi hapa tanzania

kwa hapa nchini BBC kupitia BBC swahili imekuwa mstari wa mbele kuuoneshea ulimwengu na watanzania yale mambo tu yenye ukakasi yanayofanywa na mh rais Magufuri hata kama hayana ukakasi huo BBC swahili hukoleza chumvi na hatimaye kuichafua serikali ya awamu ya tano

kiukweli bbc swahili ni chanzo cha uchochezi, mambo mazuri ya serikali hii hayashikiliwi na hayatangazwi sana kama hizi kauli za kawaida tu ambazo hutolewa na rais

Imefika wakati rasmi sasa, serikali iiwaadhibu na kuwadhibiti hawa Bbc kwa tabia zao za kumchafua rais. uthibiti umewezekana kwa vyombo vya habari vya ndani, kwanini BBC swahili isidhibitiwe?

Nini kinakwamisha serikali kukifungia bbc kwa uchochezi kinaoufanya?

wapi mamlaka husika? inaama hawaoni uchochezi huu kutoka bbc? au wizara ipo kwa itv startv jf, tanzania daima na media za watanzania tu

ni wakati sasa bbc kichukuliwe hatua, uchochezi wake hauvumiliki
Unafikiri BBC ni sawa na mawio?
 
Unasikiliza na kuangalia habari za BBC, CNN, DW zanazohusu nchi zao? Ulishasikia zinasifia upupu? Soma jinsi BBC, Sky wanavyomchamba Teresa May je amefungia vyombo hivyo? Soma CNN na vyombo vingine wanavyomchamba Trump mpaka anasema fake news. Hizi ni independent organisation ingawa BBC inalipiwa na walipa kodi wa UK lakini hawaingiliwi na mtu siyo kama TBC.

Uliona Tido alipoingia akadhani yupo BBC kilichomtokea? Bado Tanzania ni makomnist au tuseme socialist country hivyo mtoa uzi utakufa bila kujitambua. Hata ukiobewa ni bure.
Watu wanajiuzuru kila siku vyeo sababu ya kuandikwa ukahaba, niambie mawaziri Tanzania wakipigwa picha na mahawala wakawekwa gazetini au kwenye TV, hivyo vyombo vitapona?
 
Ni bahati mbaya taifa Lina watu wanaofikir kama wewe....
Dawa ya habari isiyokupendeza ni kufafanua, kuelezea na kuonesha umuhim WA huo msimamo wako, hayo ya kufungia mtafungia viredio vyenu uchwara Tu... Most of us can have the access of BBC anywhere at anytime...
Umenena
 
wakuu

kwa muda sasa hili shirika la utangazi kutoka uingereza BBC limekuwa likiripoti habari kwa namna ya kichochezi hapa tanzania

kwa hapa nchini BBC kupitia BBC swahili imekuwa mstari wa mbele kuuoneshea ulimwengu na watanzania yale mambo tu yenye ukakasi yanayofanywa na mh rais Magufuri hata kama hayana ukakasi huo BBC swahili hukoleza chumvi na hatimaye kuichafua serikali ya awamu ya tano

kiukweli bbc swahili ni chanzo cha uchochezi, mambo mazuri ya serikali hii hayashikiliwi na hayatangazwi sana kama hizi kauli za kawaida tu ambazo hutolewa na rais

Imefika wakati rasmi sasa, serikali iiwaadhibu na kuwadhibiti hawa Bbc kwa tabia zao za kumchafua rais. uthibiti umewezekana kwa vyombo vya habari vya ndani, kwanini BBC swahili isidhibitiwe?

Nini kinakwamisha serikali kukifungia bbc kwa uchochezi kinaoufanya?

wapi mamlaka husika? inaama hawaoni uchochezi huu kutoka bbc? au wizara ipo kwa itv startv jf, tanzania daima na media za watanzania tu

ni wakati sasa bbc kichukuliwe hatua, uchochezi wake hauvumiliki
Kweli, waliosema "Nionyeshe Rafiki/Marafiki zako Nami nitakueleza Wewe ni mtu wa aina gani hawakukosea." Tumeshakujua wewe ni mtu wa aina gani kutokana na marafiki ulionao. Haisumbui hata kidogo. But remember this "Tanzania si mali ya mtu binafsi. Ni ya Watanzania wote." Tuheshimiane kwani mawazo kinzani daima ndio hujenga Jamii na si kauli za ndio mzee. Inatia hasira kuona mtu analeta upuuzi wake hapa eti BBC wanaleta uchochozi. Substantiate huo uchochezi wa BBC
 
Back
Top Bottom