Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira za taifa na Viongozi wetu hata awamu ya Mstaafu Rais Kikwete ndimi zao wakiwa BBC Swahili London.
Sioni sababu yoyote ya msingi ya kumjadili na kuwaza kuhusu haki ya fursa ya uteuzi kwa nafasi yoyote kwa Salim Kikeke.
Hata Zuhura Yunus ni aibu kuwa pale alipo kwa sasa, hana sifa ya kuonekana state house/ikulu, tangu Zuhura Yunus ateuliwe kwenye Ile nafasi alichokuwa akisingizia kwa kutuchafua ati kukosekana kwa taarifa toka kwa viongozi na serikali ndio kulifanya wao waiseme Tanzania vibaya.
Salimu Kikeke mna mjadili kama nani, kuna mtu mfano Pascal Mayala ana uwezo mkubwa kwenye tasnia ya habari kuwazid hao wote waandishi wasaliti wa Taifa.
Kikeke potential yake Iko huko TikTok na uteuzi wa Kikeke popote pale utakuwa ni najisi kwa taifa la Tanzania.
Watanzania tuache upumbavu wa kuwa wasahaulifu kwenye mambo ya msingi.
Shukrani 🙏
Tukutane kwenye comments
Wadiz
Sioni sababu yoyote ya msingi ya kumjadili na kuwaza kuhusu haki ya fursa ya uteuzi kwa nafasi yoyote kwa Salim Kikeke.
Hata Zuhura Yunus ni aibu kuwa pale alipo kwa sasa, hana sifa ya kuonekana state house/ikulu, tangu Zuhura Yunus ateuliwe kwenye Ile nafasi alichokuwa akisingizia kwa kutuchafua ati kukosekana kwa taarifa toka kwa viongozi na serikali ndio kulifanya wao waiseme Tanzania vibaya.
Salimu Kikeke mna mjadili kama nani, kuna mtu mfano Pascal Mayala ana uwezo mkubwa kwenye tasnia ya habari kuwazid hao wote waandishi wasaliti wa Taifa.
Kikeke potential yake Iko huko TikTok na uteuzi wa Kikeke popote pale utakuwa ni najisi kwa taifa la Tanzania.
Watanzania tuache upumbavu wa kuwa wasahaulifu kwenye mambo ya msingi.
Shukrani 🙏
Tukutane kwenye comments
Wadiz