BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

Prophet of doom

Toka mwaka 2015 tunaambiwa CCM imepasuka lakini ukichunguza unagundua kuwa CCM imeimarika. Ikumbukwe kabla ya 2016 ilikuwa unazomewa mitaani ukivaa nguo za CCM lakini kwa sasa zimekuwa kama fashion.
Hujui kwamba nguvu ya dola inatumika? Acha vi analysis uchwara ww
 
Prophet of doom

Toka mwaka 2015 tunaambiwa CCM imepasuka lakini ukichunguza unagundua kuwa CCM imeimarika. Ikumbukwe kabla ya 2016 ilikuwa unazomewa mitaani ukivaa nguo za CCM lakini kwa sasa zimekuwa kama fashion.
Misikubaliani na wazo lako, Kipimo kizuri ni ccm kujiamini na kuruhusu tume huru ya uchaguzi kama ilivyofanyika Ethiopia. Lakini kushangiliwa barabarani au kuzomewa sio kipimo halisi. Watu wanaweza kuwa wanafki au waoga, isipokuwa katika sanduku la kura 'huru' watakuonesha sura yao halisi kwa sababu mtu ana uhakika hakuna anayemuona au kumfuatilia.
 
Prophet of doom

Toka mwaka 2015 tunaambiwa CCM imepasuka lakini ukichunguza unagundua kuwa CCM imeimarika. Ikumbukwe kabla ya 2016 ilikuwa unazomewa mitaani ukivaa nguo za CCM lakini kwa sasa zimekuwa kama fashion.

Kichekesho wavaaji ni haohao walioshindwa kuzivaa wakati huo
 
Eti mzungu akomae na CCM mbona wiki moko tu.
1445888869-b2hd.gif
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Kikeke ni mzungu sasa!,Akili umeshikiwa na........
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Usiwe mvivu wa kufikiri... Hao wana habari nyeti na za ndani zaidi kuliko sisi lay men...
 
Back
Top Bottom