BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Indeed
Wadhungu fyeeekelea mbali
BAVICHA fyeeekelea mbali
Membe fyeeekelea mbali
Chadrama mcharuko mizee ya matukio fyeeekelea mbali
 
Layout1_1_PE2QCSlavery4AM.jpg

Masikini watanzania...lakini yeye ndio anaflai on ze rait traki!!
 
Prophet of doom

Toka mwaka 2015 tunaambiwa CCM imepasuka lakini ukichunguza unagundua kuwa CCM imeimarika. Ikumbukwe kabla ya 2016 ilikuwa unazomewa mitaani ukivaa nguo za CCM lakini kwa sasa zimekuwa kama fashion.
 
Hadi haya marumbano yanaenda kwenye media za kimataifa inaonyesha kuwa kuna kitu.

Hadi kumuongerea Membe, vyama vya upinzani, ni sadalili ya kwamba awamu hii haitaki upinzani hata ndani ya chama chake!

Nampenda Lissu, Aliwasemea, hawakumeelewa. Leo hii wanapingana kwenye majukwaa, na ambayo hayana nguvu sana siku zijazo, ila media inaendelea kuwa mhimili wa nne. Serikali na chama kitaendelea kujibu tuhuma kutoka kwenye huo mhimili wa nne ambao ni media. Mitatu ni Serikali, Bunge na Mahakama.
Kwendraaaaa na uwongo wako
Kwani ushoga cnn, bbc pia walisema
Bavicha magoti ufukara umewatambaa milele
 
Back
Top Bottom