Namuomba Mungu atupe zawadi watanzania kwa kuliua tu hili liCCM
Tukithubutu kuwahukumu BBC kwa mambo yao CCM aya ya kijinga, trst me hii nchi tutalimia meno, overrrrBBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
Ayo ni mambo ya kijinga ya CCM na sio wote kama Taifa, wako huru tuBBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Serikali ya JMT inaingiaje kwenye mambo haya ya kijinga na kizwazwa ya CCM??, tena BBC ata waje watusaidie kuliua liCCMBBC ni Chombo cha serikali mkuu. Policy za economic colonizers ni pamoja na ku destabilise serikali zinazojitambua
Usiseme wote sema weweWatanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi
Ukiwa na uchumi duni, sera zinazotungwa usiku mtu amelala, unanyanyasa raia wako kwa kuwalazimisha waunge juhudi hata kama hazifai, hutaki kuheshimu katiba, huamini ktk checks and balances. Hizo tu zinatosha kuku-destabilize hata bila shinikizo lolote toka nje.BBC ni Chombo cha serikali mkuu. Policy za economic colonizers ni pamoja na ku destabilise serikali zinazojitambua
Sio kweli, ni tume ya uchaguzi ndio inaamua, sio wewe wala mimi.BBC wanacheza ngoma aliyoianzisha Magufuli ikawachanganya wapinzani. Ni hakika nayo BBC imeanza kuwachanganya.
Uamuzi wa nani kuongoza nchi hii ni wa wewe, mimi, na Mtanzania yeyote aliye na umri wa kupiga kura na amejiandikisha. Mengineyo ni mapambio na vihoja vya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
Umekua msemaji wa watanzania wote mkuu?Watanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi
Ni kuwadiSalim Kikeke siyo mzungu..
Tunakujua wewe siyo MtanzaniaTengua kauli yako sio watanzania wote mimi ni mtanzania ila sina imank nae, hata kama watz woteeeee watakuwa na imani nae mimi NEHI
Eti sindimba kwa lugha ya kchina"[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]#Tukutane2020BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
Oya acha kutusemea...Watanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi