BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC wanafanya kitu kinachoitwa media adventurism. Ni kwa vipi maoni ya Mwandishi Famao/u yanawakilisha hali halisi ndani ya CCM? Inaelekea hawa watu watasubiri sana.
 
Hahahaha!!!!! ...utasikia Mngazija huyo CCM imefanywa kuwa kikundi cha INTERAHAMWE ndani ya miaka mitatu tu.
Kwao kila anayewakosoa ni adui, huwa najiuliza hivi CCM nasikia kuna wasomi madokta na maprofesa, hivi hawa wote hawakuwahi kushiriki malumbano ya hoja kwenye debating clubs mashuleni hadi waamini katika matumizi ya nguvu kuwa suluhu ya kila kitu?
 
Kwa huu mgogoro nimejaribu kufikiria Kambi ya Membe,ya Bashiru na Kambi fulani hivi. Napata picha kwamba kuna Bomu Kali litafyatuka ila hopefully itakuwa 2025 sioni mantiki ya 2020 kwa sababu inaweza kuitwa uasi. Naomba Mungu aniweke hair niishuhudie Ccm ikikata roho 2025
CCM inakata roho 2020,baada ya hapo ni KaziNaBata
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]

Kabisa kabisa
Ni kama wale wazungu waliomteka Mo si ndio eeh?
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Ni wewe tu ndo uko naye, only you.
 
Indeed
Wadhungu fyeeekelea mbali
BAVICHA fyeeekelea mbali
Membe fyeeekelea mbali
Chadrama mcharuko mizee ya matukio fyeeekelea mbali
Hahahah!!! ISIS utawaumiza wenzio taratibu
 
Labda CCM iliyopasuka ni ya huko Uingereza ila hii ya hapa Tanzania ndio inazidi kuwa imara
 
Back
Top Bottom