BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]

Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;

1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]

2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]

3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]

Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.

Nawasilisha,
 
Hadi haya marumbano yanaenda kwenye media za kimataifa inaonyesha kuwa kuna kitu.

Hadi kumuongerea Membe, vyama vya upinzani, ni sadalili ya kwamba awamu hii haitaki upinzani hata ndani ya chama chake!

Nampenda Lissu, Aliwasemea, hawakumeelewa. Leo hii wanapingana kwenye majukwaa, na ambayo hayana nguvu sana siku zijazo, ila media inaendelea kuwa mhimili wa nne. Serikali na chama kitaendelea kujibu tuhuma kutoka kwenye huo mhimili wa nne ambao ni media. Mitatu ni Serikali, Bunge na Mahakama.
 
Watanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi
Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu
Ni wakati wakati wa kutafakari na kuchukua hatua

73a6df92413fee83ae8c483e60972984-1.jpg
 
Back
Top Bottom