Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,957
- 49,473
Hizi tuhuma za mhamiaji kupasua Ccm ni kubwa sidhani kama kuna mamluki wa kuiyumbisha Ccm na kuhusu Kinana alishatuhumiwa na Musiba hivyo hawezi kurudi.Kuna Mhamiaji haramu toka Karagwe aluekulia Viunga vya Chuo Kikuu Cha Dar Es salaam inapaswa atangazwe hadharan Ni adui wa CCM Na Serikal ya Rais Magufuli
Nchi Na Chama ilikuwa shwari lakin Kwa nia ovu Na makusudi kabisa anachafua bahari akiwa hajui madhara yake
Amiri Jeshi amshurutishe Comrade Kinana kurudi Uwanja wa Vita maana kuna Mamluki anataka Cha chetu kipasuke