BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

Tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu
Ni wakati wakati wa kutafakari na kuchukua hatua

View attachment 956063
Utumwa huu umesababishwa na Jiwe mwenyewe kutokuwa na upendo kwa Watz wote hasa Wapinzani wake kiaiasa. Yeye kwa kaulil zake amewafanya wasaidizi/watendaji kuwahujumu kiuchumi wapinzani. Rejea jengo la Free Media pamoja na mashamba ya Mh Mbowe.

Kwa kauli zake hizo hizo nini kilimpata Mh Lissu? Kwa kauli zake hizo hizo nini kimewapata Mh Mbowe na Mh Matiko kiasi cha kustahili kuwa magerezani?? Mungu anaona na Mungu hadhihakiwi.

Mkitaka Watz wawe wamoja basi acheni ubaguzi. Na kuacha kwenyewe kuonekane kuwa mmeacha ubaguzi na dhuluma pamoja na ubabe kwa wapinzani. Mbali na hapo moto utakaowaka huko ccm wapinzani hawatakimbia na madumu ya maji kuzima bali madumu ya petroli ili kuuchochea moto nanyi muonje machungu waliokuwa wakipata wapinzani kutokana na kauli za Mh Rais kwa Wapinzani.
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]

Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Azam T.V au Clouds) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;

1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]

2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]

3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]

Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.

Nawasilisha,
BBC wanacheza ngoma aliyoianzisha Magufuli ikawachanganya wapinzani. Ni hakika nayo BBC imeanza kuwachanganya.

Uamuzi wa nani kuongoza nchi hii ni wa wewe, mimi, na Mtanzania yeyote aliye na umri wa kupiga kura na amejiandikisha. Mengineyo ni mapambio na vihoja vya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
BBC imeongelea ccm, wewe unamuingiza rais. hivi huwa mnatumia nini kufikiria
 
Una imani ww siyo sisi acha ujinga kenge wa kijani weee
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]

Mi wala sipo pamoja na jiwe! Aku.
 
Kuna Mhamiaji haramu toka Karagwe aluekulia Viunga vya Chuo Kikuu Cha Dar Es salaam inapaswa atangazwe hadharan Ni adui wa CCM Na Serikal ya Rais Magufuli

Nchi Na Chama ilikuwa shwari lakin Kwa nia ovu Na makusudi kabisa anachafua bahari akiwa hajui madhara yake

Amiri Jeshi amshurutishe Comrade Kinana kurudi Uwanja wa Vita maana kuna Mamluki anataka Cha chetu kipasuke
 
Watanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi
Ni lazima uwe na changamoto kubwa grofani ili kufikiri unaweza kuwasemea watanzania. Ni watu wenye matatizo kama yako tu ndo wanaoweza kuwa na imani na mtu matatizo kama yako!
 
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Ni wewe peke yako. Hatushabikii uhalifu.
 
Walikuka masharti ya dhamana waliyopewa na mahakama.
Nini kiini cha wao kupelekwa mahakamani wakati waliompiga Aquiline risasi zilizomuondolea uhai wake wanajulikana ni kina nani?? Wameachiwa huru kwenye kituo cha polisi nakuambiwa hawana hatia. Nikweli hawakuwa na hatia?? Je nani mwenye mamlaka ya kuona mwenye hatia na asiye na hatia sio mahakama??

Walioonekana wana hatia ni Waheshimiwa Wabunge wa Upinzani tu ambao siku ya tukio hawakuwa hata na kalamu mikononi licha ya mawe. Lkn waliobeba bunduki na risasi za moto nakuzitumia risasi zile ndugu yangu hawana hatia. Mungu anaona. Mtanibeza kuwa ni dua la kuku lkn ndio haya mnayoyaona huko kwenu. Mmeshaanza kugawana fito nguzo zibaki zenyewe.
 
Back
Top Bottom