Tatizo unajibu huku ukiwa na hasira sanaa, relax kwanza alafu tuendelee kumjadili huyu Rais bora kuwahi kuishi Tanzania.kwahiyo hapo wewe umejibu kikubwa au sio
Aiseee kwahiyo wewe Kwa akili zako timamu kabisa ukaamini Tanzania chini ya jiwe imepaaa kiuchumi kuliko awamu yoyote Ile?
Ama kweli haya ni maajabu ya Karne!
Tunaangalia facts, siyo ufahamu au maoni ya mtu binafsi.hahahaahhaaaa Kwa ufahamu wako unaona zile takwimu zilikua sawa?
Na ukaamini kabisaaaa tupo uchumi wa kati Kama walivyojinasibu?
Most of us liked him.mfateni makaburini huko mwehu yule
mnajua kabisa no one likes him at all...mnapiga madomo tu hapa
aliekua anawapa ugali kafa na ugali....sasa hivi njaa mpaka matakoni..muulizeni bashite
Utafiti hupingwa na utafiti.Mema ya nchi wapi nyie vigeu geu hao waliowapa Hizo takwimu si ndio mliwaita mabeberu iwaje Tena mkaamini takwimu zao?
Ile ya uchumi wa kati ilikua kejeri Kama kejeri nyingine na nyie mkaingia mkenge kushangilia takwimu hewa!
Haaahaahahah MATAGA pori mna vioja sana!
Makaratasi yame-document uhalisia uliopo kwenye maisha ya kawaida. Halafu lini uchumi umeporomoka tena? Unajua hata unachokiongea, au unafanya speculations tu?haya tufanye walikua wakweli huo uchumi wa kati unao apply kwenye makaratasi bila uhalisia mbana hatuuoni Ina maana umeporomoka ghafla baada ya mwendazake kwenda na upepo?
Tuthibitishie Tanzania haipo uchumi wa kati.kwahiyo hapo wewe umejibu kikubwa au sio
Aiseee kwahiyo wewe Kwa akili zako timamu kabisa ukaamini Tanzania chini ya jiwe imepaaa kiuchumi kuliko awamu yoyote Ile?
Ama kweli haya ni maajabu ya Karne!
• Ni lini magari yaliacha kununuliwa?Dah TRA wameacha kutusomea mapato lakini maloli yamefunga njia zote kuanzia bandalini mpaka mikoani,namba mpya za magari leo nimeona DXE.zinakimbia hatari.
Hhhhhhh...muuza ngada na shog.a leo anauwezo wa kutambua nani punguani, maisha yanaenda kasi sana..asompenda Magufuli ni teja, mwenye vyeti feki, fisadi, shoga, kibaraka wa mabeberu, mwendawazimu....
UNACHOKOSEA HUWEZI KULETA DEBATE huku ukitetea majibu na upande wa Mwendazake, wakati Mkit wa CCM alishasema jamaa katokea mirembe DodomaTatizo unajibu huku ukiwa na hasira sanaa, relax kwanza alafu tuendelee kumjadili huyu Rais bora kuwahi kuishi Tanzania.
hivi wewe jamaa ni raia wa nchi Hii kweli au umeamua kujitoa fahamu aliyesema now tunaenda kuifungua nchi baada ya mazishi ya Mwendakuzimu jiwe ni nani?Makaratasi yame-document uhalisia uliopo kwenye maisha ya kawaida. Halafu lini uchumi umeporomoka tena? Unajua hata unachokiongea, au unafanya speculations tu?
Hilo jamaa ni MATAGA kweli kweli yaani linaalili za Kikolomije eti ningekua karibu ningekupiga Shaba ama kweli wafuasi wa Mwendakuzimu wamepandwa na wazimukapige shaba matako yako
ni kwamba lile jamaa ni limfu zoefu huko makaburini..mpelekeeni matako huko huko
kafa na ugali wenu,sasa hivi mna njaa hakuna wa kuwabeba na familia zenu
na alaaniwe yule amtegemeae mwanadamu....ndio kafa sasa...kuleni mavi!
Ni kweli alikua Rais Bora Kwa misukule na manyumbu Kama nyie ila wenye ufahamu na akili zetu timamu na sio za kushikiwa Kama nyie ndio alikua Bora,Tatizo unajibu huku ukiwa na hasira sanaa, relax kwanza alafu tuendelee kumjadili huyu Rais bora kuwahi kuishi Tanzania.
jiwe baada ya kupika data na kuwaingiza mkenge IMF
Mema ya nchi wapi nyie vigeu geu hao waliowapa Hizo takwimu si ndio mliwaita mabeberu iwaje Tena mkaamini takwimu zao?
Ile ya uchumi wa kati ilikua kejeri Kama kejeri nyingine na nyie mkaingia mkenge kushangilia takwimu hewa!
Haaahaahahah MATAGA pori mna vioja sana!