Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wow thanks for render jaluo jinga😀😀
Sindano.. 🤣 🤣 🤣

ta1.JPG
 
pedestrian ndio nini?
Nani kakwambia hawatakiwi kuwepo kwenye zahanati?
Halafu hospitali ya wilaya ya Chunya au pale tukutu wapo Pediatricians wangapi?
a reason I said huna exposure. Hupaswi kuwa kwenye forum za wajuvi wa mambo kama hizi. Wewe nenda huko fb.
Hahahahahah lamamayeee!
Pediatrician mpaka pedestrian!?
Ungemwambia tu daktari wa watoto kaka.
Japo kwa mimi kaka naunga mkono madaktari wa watoto wawe hospitali ya rufaa ndio utendaji kazi kitiba utaenda vizuri.
Maana hata afisa tabibu kasomea pediatric sessions hivyo matatizo common ya mtoto rahisi kuyatatua ila ikitoa main issue itayomhitaji specialist (pediatrician) ndio waende hospitali ya rufaa ya wilaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom